Mzee Kikwete: Wanaolalamikia kupanda kwa bidhaa ni unafiki mkubwa

Mzee Kikwete: Wanaolalamikia kupanda kwa bidhaa ni unafiki mkubwa

😁😁😁
163178281631782897.jpg
 
Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.

'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli

'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka? Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'

BT atakuwa kwenye kushangilia kampuni linapojiimarisha kimapato
 
Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.

'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli

'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka? Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
Kuna wastaafu wanawashwa washwa - Jiwe Kiongozi wa Malaika
 
Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.

'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli

'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka? Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
HUWA NAMCHUKIA SANA MTU ANAYEFANANISHA UCHUMI WA NCHI TAJIRI KAMA UINGEREZA MAREKANI na NCHI yetu Tanzania
 
Hili lizee la msoga huwa haliwezi kutuliaa. Ni linawashwa KOMWE na kufurukuta kama ndulele kwenye chungu cha moto.

Alipewa miaka kumi ya urais lakini hakuna alilolifanya zaidi ya UFISADII na kuongoza GENGE LA MAJIZII YA KILA AINA, ESCROW, MEREMETA, IPTL na mengine chungu mzima.

Yale makontena ya hela aliyoyaficha msoga ayalete mtaanii tupunguze ukata.

La mwisho na la sekondari, amuache SAMIA APIGE KAZIIIII..... YEYE YALISHAMSHINDAAAA ATULIEEEEEE AACHE KUJIFANYAA MJUVI UCHWARA
Una mshutumu umeiona hio clip ukasikia sauti
 
Zifahamu benefits za Rais mstaafu wa JMT kwa mujibu wa Political Service Retirement Benefit Act, 1999.


On retirement the president is entitled to the following benefits under this law.

To begin with he shall be entitled to annual pension that will be payable to him every month at the rate of 80% of the incumbent president.

He will also be entitled to a gratuity the amount of which is 50% of the total salaries received when in office as a president.

He: is also entitled-to winding up allowance the amount of which is the total salaries accorded to the incumbent president for 24 months.

Other benefits include the diplomatic passport, for him and the spouse, Health insurance for treatment in the United Republic of Tanzania, the service of two vehicles availed to him by the government, a full furnished house with not less than four rooms (self contained) together with the servant quarter.

Maintenance allowance for every month the amount of which shall be equal to 80%, of the salary of the incumbent president. He shall also be entitled to security services to him and his family, one personal assistant, one personal secretary, office attendant, one cook, one laundry man, one laundry man, domestic servant, one gardener, two drivers and he will also be entitled to use the VIP lounge.

If the president dies while in power or after retirement but before - receiving his benefits the dependants shall be entitled to a gratuity the amount of which is equal to the total of all salaries which were received by the president while in power.[2] Again where a retired president dies the widow shall be entitled to a pension of 25% of the salary of the incumbent president.
Umekalili kiswahili usingeweza tumia
 
Zifahamu benefits za Rais mstaafu wa JMT kwa mujibu wa Political Service Retirement Benefit Act, 1999.


On retirement the president is entitled to the following benefits under this law.

To begin with he shall be entitled to annual pension that will be payable to him every month at the rate of 80% of the incumbent president.

He will also be entitled to a gratuity the amount of which is 50% of the total salaries received when in office as a president.

He: is also entitled-to winding up allowance the amount of which is the total salaries accorded to the incumbent president for 24 months.

Other benefits include the diplomatic passport, for him and the spouse, Health insurance for treatment in the United Republic of Tanzania, the service of two vehicles availed to him by the government, a full furnished house with not less than four rooms (self contained) together with the servant quarter.

Maintenance allowance for every month the amount of which shall be equal to 80%, of the salary of the incumbent president. He shall also be entitled to security services to him and his family, one personal assistant, one personal secretary, office attendant, one cook, one laundry man, one laundry man, domestic servant, one gardener, two drivers and he will also be entitled to use the VIP lounge.

If the president dies while in power or after retirement but before - receiving his benefits the dependants shall be entitled to a gratuity the amount of which is equal to the total of all salaries which were received by the president while in power.[2] Again where a retired president dies the widow shall be entitled to a pension of 25% of the salary of the incumbent president.
Daah, Kwa haya MAHELAAA lazima JIZI KIKWETE LIFURUKUTE na KUFOKA.

MAHELA MENGI KWELI KWELII, PENSION, MARUPURUPU, NYUMBA BURE, GARI BURE!!

UKIJUMLISHA NA MAHELA ALIYOTUIBIA AKIWA RAIS!

NA MIGODI ALIYOIPORA, NA MADINII, NA PEMBE ZA NDOVUU ALIZOJITWALIAAA!!!

JAMENIIII, THE TRILLIONAIREE!!!
 
Kwa sababu yupo mstaafu mwenye afya njema mwenyewe basi anafikilia kila atakaloongea litakuwa sawa na la mzee Nyerere, Mwinyi au Mkapa!.

Bora angetulia tukawa tunamsikia akiwa huko kwenye majukwaa makubwa ya wastaafu wenzake!.
Uingereza na ulaya watu wanakula vyakula vya mbwa na paka baada ya vyakula vya binaadam Bei kupaa,wanaandama kuongezewa mshahara kwendana na gharama za maisha,ndicho alichomaanisha,badala yake mmeona pa kutemea nyongo kutoa chuki zenu zilizojaa vifuani dhidi yake,COVID na Vita Ukraine vimepaisha gharama za maisha
 
Back
Top Bottom