Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Hilary Clinton nae anatoka nchi ya kidikteta?Ni kweli,, haya Mara nyingi yanatokea kwenye nchi za Kidikteta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilary Clinton nae anatoka nchi ya kidikteta?Ni kweli,, haya Mara nyingi yanatokea kwenye nchi za Kidikteta.
H aha haaa! Mwaka huu hakuna rangi ambayo hamtaiona...!! Lissu nasikia katoa pasi 'mkaa' tena leo kwa watanzania alipokuwa anaongea na wahariri wa vyombo vya habari! Pia kagoma kukanusha kuwa anatumwa na 'mabeberu' ! Kaweke hali ya hewa sawa kule vinginevyo, atapata kura sifuri mwezi ujao. ha haaaa!
Come on now mzee baba, we as CHADEMA have survived the past 20+ years under extreme oppression under every single president of this country. We know Voting Meko out will not change our condition. But again No President from the Green will change our condition to the better, therefore We must change the ruling system or suffer the consequences later.Mwenye bahati habahatishi. Hongera kwake Salma Kikwete
Mke wa Yoweri Mseveni ni mbunge na waziri bwashee!
Clinton naye ni dikteta bwashee?!Kwa madictator hilo sio ajabu.
Clinton naye ni dikteta bwashee?!
Kwani wakati wa JK mama Salma alikuwa waziri?Wakati Clinton akiwa rais mkewe alikuwa waziri?
Lissu ndiye rais wako wa awamu ya sita, hutaki rudi kwenu koromije.H aha haaa! Mwaka huu hakuna rangi ambayo hamtaiona!! Lissu nasikia katoa pasi 'mkaa' tena leo kwa watanzania alipokuwa anaongea na wahariri wa vyombo vya habari! Pia kagoma kukanusha kuwa anatumwa na 'mabeberu' ! Kaweke hali ya hewa sawa kule vinginevyo, atapata kura sifuri mwezi ujao. ha haaaa!
Bwashee yaan hakuna hata mke mmoja wa Rais aliyewahi kutaka ubunge, Huyu kipo kinamhangaisha?
Reserved for future reference! Ha ha haa!Lissu ndiye rais wako wa awamu ya sita, hutaki rudi kwenu koromitje
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ndiye rais wako wa awamu ya sitaReserved for future reference! Ha ha haa!
haki kwa wote unayoitaka utaipata wapi mkuu? amerika kwenyewe ilikoanzishwa mifumo hii ya utawala wa sheria na haki bt bado kuna ujinga mwingi, hapa tunachoangalia ni unafuu wa mambo, mungu mwenyew ambae ni mkamilifu bt bado analaumiwa kwa kuumba tajiri na maskin, vilema, vipofu na nk.. sembuse magu ambae ni binadam? kwa kiasi chake magu kasawazisha mambo.Mhhhhhh!!! Kwahiyo mkuu kwa sasa kwa huyo magufuli unayempenda HAKI kwa wote ipo?! Kweli kama ulivyosema, sitokuja kukuelewa!
Mke wa Yoweri Mseveni ni mbunge na waziri bwashee!
Namkubali sana JK na ndiyo Rais wangu bora tangu uhuru maana ktk uongozi wake aliyagusa maisha yangu direct, ila kumuacha mkewe kuzulula jimboni sijapenda kabisaAkiwa katika mkutano ulioongozwa na Makamu wa Rais mama Samia Suluhu huko Mchinga Lindi, Rais mstaafu ameongea kiutani kuwa
"Watu walikuwa wanasema mama huyu [Salma Kikwete] kaachwa ndiyo maana anahangaikia Ubunge. Nyie shemeji zangu mnataka kuninyang'anya mke? Mie sijamuacha."
Maendeleo hayana vyama!
Huyu mama atakuja kumuacha huyu mzee sababu ya tamaa ya madarakaAkiwa katika mkutano ulioongozwa na Makamu wa Rais mama Samia Suluhu huko Mchinga Lindi, Rais mstaafu ameongea kiutani kuwa
"Watu walikuwa wanasema mama huyu [Salma Kikwete] kaachwa ndiyo maana anahangaikia Ubunge. Nyie shemeji zangu mnataka kuninyang'anya mke? Mie sijamuacha."
Maendeleo hayana vyama!