Logic ya trafiki wengi barabarani iko hivi: (something like a syllogism)
1. Kuwa barabarani ni pesa
2. Kitengo cha Trafiki ni wengi sana (kila mmoja mwenye upenyo amampeleka mwanae/nduguye utrafiki
3. Automatically ili kila mmoja lazima apate pesa,
4. Lazima kuwe na vituo vingi vya kusimamisha magari ili kila mmoja apate pesa.
--------------------------------------------------------------------------------------
5. Aggravated more by: mabosi wanataka pesa, na si ndogo,. Unazipataje? lazima uwapange wengi barabarani and hence vituo vingi.
SULUHISHO:
1. Futa police kuwa barabarani! Inawezekana? Sidhani maana waafrika tumelogwa! Barabarani kutakuwa chaotic!
2. REFORM POLICE FORCE . How? This is debatable maana Mh!
1. Kuwa barabarani ni pesa
2. Kitengo cha Trafiki ni wengi sana (kila mmoja mwenye upenyo amampeleka mwanae/nduguye utrafiki
3. Automatically ili kila mmoja lazima apate pesa,
4. Lazima kuwe na vituo vingi vya kusimamisha magari ili kila mmoja apate pesa.
--------------------------------------------------------------------------------------
5. Aggravated more by: mabosi wanataka pesa, na si ndogo,. Unazipataje? lazima uwapange wengi barabarani and hence vituo vingi.
SULUHISHO:
1. Futa police kuwa barabarani! Inawezekana? Sidhani maana waafrika tumelogwa! Barabarani kutakuwa chaotic!
2. REFORM POLICE FORCE . How? This is debatable maana Mh!