Mzee Kinana, trafiki wengi wako barabarani kwa vile kuna pesa zisizo na jasho. Nini kifanyike?

Mzee Kinana, trafiki wengi wako barabarani kwa vile kuna pesa zisizo na jasho. Nini kifanyike?

Sheria gani hizo zinazotamka kila hatua chache wawepo traffic? Na kila daladala la iazima kwenye hiyo route wawe wanatoa hela kwa Traffic?

Kinana katamka wazi kuwa Tanzania ndio nchi pekee ambayo ni kama Traffic police state kila hatua chache traffic kibao kuanzia stendi hadi barabarani

Mwendo mdogo tu unakumbana na Traffic
Kiukweli wamekuwa wengi Hadi kero, Mimi nashauri wavalishwe magwanda ya kaki wakapambane na uhalifu
 
Traffic wa Dar hadi kuna upatu wanacheza Kupeana hela laki moja kila siku chukulia wako 40 kila siku mtu anataka na milioni nne kila siku mwenye zanu yake hiyo ni nje ya Rushwa anayokusanya over and above hiyo laki moja ya upatu.Walipiaji huo ujinga madereva na wamiliki wa magari kwa Rushwa wanazoombwa na hao Traffic

Hili swala na Takukuru wahusishwe ni.mbinu gani ifanyike kukomesha for good Rushwa za traffic. Kunatakiwa kuangalia mifumo ya kazi na hiyo sio kazi ya polisi pekee. Utumishi wahudishwe Takukuru wahusishwe,vitengo vya Tehama vihusishwe Usalama wa taifa wahusishwe ,Tanroads ,wizara ya Uchukuzi ihusishwe na wamiliki wa magari ya biashara na binafsi wahusishwe na uombwe msaada wa wawakilishi toka nchi ambazo zina uzoefu wa kudhibiti Tatizo la Rushwa kwa traffic police

Waongozwe na kamati ile aliyounda Raisi kuabgalia utendaji wa majeshi.Polisi Traffic kwenye hiyo kamati wasiwemo
Umeongea fact mkuu
 
Kuwanasa mmoja mmoja haisaidii sana tunatakiwa kuja na solution ya utendaji kazi ambayo traffic police hatafanikiwa kupata hata mia ya Rushwa hata wakitaka

Hili eneo wataalamu ikulu na utumishi na viongozi wa juu wa polisi wanatakiwa vichwa vichemke.watafute solution haraka kabla Raisi kula vichwa vyao na kutumbua

Kinana Mtu mkubwa kijeshi ,kichama na kiraia akiongea ni command. Mtu akidharau shauri yake
Kijana ni mtu mkubwa ndio ila sio muadilifu wa kukemea akaaminika
 
Sheria gani hizo zinazotamka kila hatua chache wawepo traffic? Na kila daladala la iazima kwenye hiyo route wawe wanatoa hela kwa Traffic?

Kinana katamka wazi kuwa Tanzania ndio nchi pekee ambayo ni kama Traffic police state kila hatua chache traffic kibao kuanzia stendi hadi barabarani

Mwendo mdogo tu unakumbana na Traffic



Lakini walikuwa wanasaidia kuondoa foleni za magari.

Sema wengine wamekuwa waki miss use hizo nafasi.
 
Back
Top Bottom