Kiukweli wamekuwa wengi Hadi kero, Mimi nashauri wavalishwe magwanda ya kaki wakapambane na uhalifuSheria gani hizo zinazotamka kila hatua chache wawepo traffic? Na kila daladala la iazima kwenye hiyo route wawe wanatoa hela kwa Traffic?
Kinana katamka wazi kuwa Tanzania ndio nchi pekee ambayo ni kama Traffic police state kila hatua chache traffic kibao kuanzia stendi hadi barabarani
Mwendo mdogo tu unakumbana na Traffic
Umeongea fact mkuuTraffic wa Dar hadi kuna upatu wanacheza Kupeana hela laki moja kila siku chukulia wako 40 kila siku mtu anataka na milioni nne kila siku mwenye zanu yake hiyo ni nje ya Rushwa anayokusanya over and above hiyo laki moja ya upatu.Walipiaji huo ujinga madereva na wamiliki wa magari kwa Rushwa wanazoombwa na hao Traffic
Hili swala na Takukuru wahusishwe ni.mbinu gani ifanyike kukomesha for good Rushwa za traffic. Kunatakiwa kuangalia mifumo ya kazi na hiyo sio kazi ya polisi pekee. Utumishi wahudishwe Takukuru wahusishwe,vitengo vya Tehama vihusishwe Usalama wa taifa wahusishwe ,Tanroads ,wizara ya Uchukuzi ihusishwe na wamiliki wa magari ya biashara na binafsi wahusishwe na uombwe msaada wa wawakilishi toka nchi ambazo zina uzoefu wa kudhibiti Tatizo la Rushwa kwa traffic police
Waongozwe na kamati ile aliyounda Raisi kuabgalia utendaji wa majeshi.Polisi Traffic kwenye hiyo kamati wasiwemo
Kijana ni mtu mkubwa ndio ila sio muadilifu wa kukemea akaaminikaKuwanasa mmoja mmoja haisaidii sana tunatakiwa kuja na solution ya utendaji kazi ambayo traffic police hatafanikiwa kupata hata mia ya Rushwa hata wakitaka
Hili eneo wataalamu ikulu na utumishi na viongozi wa juu wa polisi wanatakiwa vichwa vichemke.watafute solution haraka kabla Raisi kula vichwa vyao na kutumbua
Kinana Mtu mkubwa kijeshi ,kichama na kiraia akiongea ni command. Mtu akidharau shauri yake
Du. Kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.Wamrudishe uwaziri mambo ya ndani Kangi Lugola awanyooshe Traffic Police
Usiwe mtumwa wa historia kwa hili la Traffic yuko sahihi asilimia 100Kinana ni mtu mkubwa ndio ila sio muadilifu wa kukemea akaaminika
Hana morali authority ya kukemea ukosefu wa uadilifu, mzinzi kukemea uzinzi!Usiwe mtumwa wa historia kwa hili la Traffic yuko sahihi asilimia 100
Sheria gani hizo zinazotamka kila hatua chache wawepo traffic? Na kila daladala la iazima kwenye hiyo route wawe wanatoa hela kwa Traffic?
Kinana katamka wazi kuwa Tanzania ndio nchi pekee ambayo ni kama Traffic police state kila hatua chache traffic kibao kuanzia stendi hadi barabarani
Mwendo mdogo tu unakumbana na Traffic
hapa umenena! Western world ndio utaratibu wao!Nchi iwekwe makamera tu kwisha habari na hawa maaskari wa barabarani warudi vituoni wapangiwe kazi zingine.