mbari sa menya
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,002
- 1,891
Tena ilitakiwa upelekwe police mess, ukatandike vitanda na kuwahudumia maafande chakula na vinywaji,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote kheriKumbe povu lote kisa umebadilishwa idara
Poti uraiani utusaidie kukimbiza na mateja na wauza gongo[emoji16]
Shukrani sana mkuuPole sana, unaandika kwa hisia hadi sauti inasikika.
Wako askari waadilifu na wasio waadilofu.
Wasio waadilifu kwenye sekta ya usalama barabarani ndo wamebeba hulka kuwa askari wote wa barabarani ni wasumbufu, wala rushwa etc.
Vikoba na Upatu mmeviyumbisha sana.Sawa Mr Kinana.
Umekaririshwa tu ndugu yanguMimi trafiki naowajua hawakagui chochote ni kukusanya hela barabarani, Kama huna ndio wanaanza kukagua, huu mfumo unafanya kila dreva LAZIMA awe mtoa rushwa, Hadi watu wanafikiri ni mradi wa serikali, huu mfumo uangaliwe upya.
Yaani kutoka wilaya moja Hadi nyingine uwe na angalau elfu ishirini ya kusafisha barabara hata Kama gari ni jipya. Tusitetee upumbavu
Asante ndugu yangu, nashukuru sana.mkafie mbele ya safari, watanzania tumewachoka kwa njaa njaa zenu hizo……………...
Nasema Uongo Ndugu Zangu kipindi cha Dkt Magufuli mlifanya kazi vizuri, yaani mlisimamia sheria na mkimkamata mtu kafanya kosa ndiyo mlichukua rushwa ila kwa kosa halisi. Ila kwa sasa mlikuwa mnashindana kuchukua hela hata kama gari halina kosa mnatafuta makosa hasa kwa daladala au basiBaada ya agizo lako, tumeitwa na tupo kwenye utekelezaji. Nadhani ajali ya Usiku wa kuamkia leo imesababishwa na Taa.
Tunashukuru, wengine tumebadilishiwa mpaka idara ila sawa tu. Kila la kheri ndugu Kinana endelea kufurahia ku-drive maana hatuta kusumbua.
Kwa teknolojia tuliyo nayo sasa hapa nchini ni lazima tufanye hivyo ila siku tukiwa na uwezo wa kufunga camera za kufuatilia mienendo ya vyombo wala huta sumbuka.mnakera. unakaguliwa mara sita ndani ya mkoa mmoja mnauliza vitu vile vile
wekeni utaratibu wa kutokurudia ukaguzi at least on the same day
mfano unatoka kahama unaenda shinyanga, ndani ya mkoa. Unasimamishwa bijampola kwa mbele hapo karibu na daraja, unaombwa leseni, unaomba card ya gari, unaambiwa washa taa
Ukitoka phantom unaombwa vitu hivyo hivyo
kabla ya buwagi hapo vitu hivovivo
kagonwa tena
hali inaendelea hivyo kabla ya isaka na baada tu ya isaka hapo shule ya msingi
itwangi au luhumbo, tinde, baada ya tinde kuna vikosi viwili hadi vitatu kabla ya kuingia shinyanga
Trafiki wa tanzania mchango wao mdogo sana kwenye kuzuia ajali..mana hata walipokuwepo ajali zilikuwa zikitokea..wengi ni wazuri na wataalamu wa kupokea rushwa.Baada ya agizo lako, tumeitwa na tupo kwenye utekelezaji. Nadhani ajali ya Usiku wa kuamkia leo imesababishwa na Taa.
Tunashukuru, wengine tumebadilishiwa mpaka idara ila sawa tu. Kila la kheri ndugu Kinana endelea kufurahia ku-drive maana hatuta kusumbua.
Mudawote mrembo nimemiss sana ile kitu ulinipea... nilikuja Lumumba nikaambiwa haupo tena na simu sikupati. Naomba nitafutie namna tena, Thanks.Nasema Uongo Ndugu Zangu kipindi cha Dkt Magufuli mlifanya kazi vizuri, yaani mlisimamia sheria na mkimkamata mtu kafanya kosa ndiyo mlichukua rushwa ila kwa kosa halisi. Ila kwa sasa mlikuwa mnashindana kuchukua hela hata kama gari halina kosa mnatafuta makosa hasa kwa daladala au basi
Mimi sijawahi kubadilika, nimejifunza kuwa mwadilifu na natambua thamani ya uadilifu, siwezi kusemea wengine ila raia mnatufanyia vibaya mpaka hatufurahii kazi yetu.Nasema Uongo Ndugu Zangu kipindi cha Dkt Magufuli mlifanya kazi vizuri, yaani mlisimamia sheria na mkimkamata mtu kafanya kosa ndiyo mlichukua rushwa ila kwa kosa halisi. Ila kwa sasa mlikuwa mnashindana kuchukua hela hata kama gari halina kosa mnatafuta makosa hasa kwa daladala au basi
Angalia wenzio hapa wameweka na wakala wao wa kuwachukulia pesa.Kwa teknolojia tuliyo nayo sasa hapa nchini ni lazima tufanye hivyo ila siku tukiwa na uwezo wa kufunga camera za kufuatilia mienendo ya vyombo wala huta sumbuka.
Wewe ni shoga?Mudawote mrembo nimemiss sana ile kitu ulinipea... nilikuja Lumumba nikaambiwa haupo tena na simu sikupati. Naomba nitafutie namna tena, Thanks.
Mi naonaga trekta zikitembea usiku na zingine mijini utadhani ni magari. Trekta ni mitambo ya kazi mashambani. Serikali itoe elimu na ikataze hii midude kutembea mwisho saa 12 jioni.Baada ya agizo lako, tumeitwa na tupo kwenye utekelezaji. Nadhani ajali ya Usiku wa kuamkia leo imesababishwa na Taa.
Tunashukuru, wengine tumebadilishiwa mpaka idara ila sawa tu. Kila la kheri ndugu Kinana endelea kufurahia ku-drive maana hatuta kusumbua.
Asante mkuu, barikiwa sana.Pole sana mkuu , mimi binafsi nawapenda sana Trafick wanafanya kazi ngumu wanaochukia ni wale magari yao mabovu , wabongo wengi wanashabikia vitu .