Soma vizuri mkuu, amemtaja bumunda ndie mnywa rubisi na sio bumbuliAcha uwongo, bumbuli hatumii kilevi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma vizuri mkuu, amemtaja bumunda ndie mnywa rubisi na sio bumbuliAcha uwongo, bumbuli hatumii kilevi.
Juzi nimekutana nae huko lushoto kwa mganga anapikwa upya.Waganga anaotumia hawana msimamo
Atarudishwa sahivi yupo huko Bumbuli analoga haswa usiku na mchanaMzee Kipara huko alipo atakua anakumbuka safari za nje na CHIEF. Mpaka sasa amemiss ile ya Rwanda na sasa SADC Zimbabwe.
January anarudi kwenye cabinetJuzi nimekutana nae huko lushoto kwa mganga anapikwa upya.
Hujamwelewa aliye comment.... Bumunda ni Nape Moses NauyeAcha uwongo, bumbuli hatumii kilevi.
Angalia vizuri. Nimesema BUMUNDA ndio lililewa rubisi. If you know you know.Acha uwongo, bumbuli hatumii kilevi.
Amefanya nini cha maana kwa Tanzania? Wewe unaogopa ameonana na nani?Yule Kipara kasoma Marekani,I forget which University.
Halafu kafaya kazi Carter Center. Kwa hiyo labda ameonana na Jimmy Carter.
Halafu amekwenda White House na Kikwete kuonana na Barak Obama.
Kabla ya hapo alikwenda White House na Kikwete kuonana na George W. Bush nadhani.
Kwa hiyo hizo ni sifa za mtu kuwa Rais?Yule Kipara kasoma Marekani,I forget which University.
Halafu kafaya kazi Carter Center. Kwa hiyo labda ameonana na Jimmy Carter.
Halafu amekwenda White House na Kikwete kuonana na Barak Obama.
Kabla ya hapo alikwenda White House na Kikwete kuonana na George W. Bush nadhani.
InawezekanaBaba yake alishasema,, atarudi tena kwenye system!!
Yuko vizuri kwenye hilo sanaJuzi nimekutana nae huko lushoto kwa mganga anapikwa upya.
Jenta my sin, mbona umekalia kimya kuhusu suala la mbwa kubwekea maendeleo? Sijakusikia kabisa au wewe ni mmoja wa taski fosi?Thubutu......!!
Unataka nilisemee mara ngapi labda? Una uhakika GENTAMYCINE sijasema lolote kuhusu hilo na hata kuanzisha Uzi ambao baadae Moderators wakauunganisha?Jenta my sin, mbona umekalia kimya kuhusu suala la mbwa kubwekea maendeleo? Sijakusikia kabisa au wewe ni mmoja wa taski fosi?
Kwani tayari ameshakuwa Mzee?Mzee Kipara huko alipo atakua anakumbuka safari za nje na CHIEF. Mpaka sasa amemiss ile ya Rwanda na sasa SADC Zimbabwe, Kenya kwa Odinga AUC na Marekani UNGA (mwezi September).