Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Wacha uchawi dogoMzee Kipara huko alipo atakua anakumbuka safari za nje na CHIEF. Mpaka sasa amemiss ile ya Rwanda na sasa SADC Zimbabwe, Kenya kwa Odinga AUC na Marekani UNGA (mwezi September).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha uchawi dogoMzee Kipara huko alipo atakua anakumbuka safari za nje na CHIEF. Mpaka sasa amemiss ile ya Rwanda na sasa SADC Zimbabwe, Kenya kwa Odinga AUC na Marekani UNGA (mwezi September).
Sasa Bumunda Na mtumbo kama PipaKipara alipelekewa Naibu Swahiba kuchunguza harakat zake za kuelekea Jumba kuu. Yeye bila kustuka akawa anajiimarisha kikampeni2025 na kupanga Baraza kabisa,
1. DaUmmi PM,
2. Bumunda -Foreign,
3. Byabato - Ujenzi,
4. Molel - Afya.
Burundi na gari T800 BDQ mwaka 20xxWaganga anaotumia hawana msimamo
Na badoKipara kapauka
Hakika lo
Hahahaha bumunda mnywa rubisi si kala kadi nyekundu kwa sababu ya kumwaga mbinu za kimedani kwenye kuku wengi kule uhayani🤣Soma vizuri mkuu, amemtaja bumunda ndie mnywa rubisi na sio bumbuli
Ndio, huyo huyo Luteni Joseph Makamba.Baba luten au😅
Kama Shoga yake Nepi. Wote watoto wa mjini hao. Huko shamba wakatafute nini!? Kwani wao wakulima!?Huyo mzee wa mjini hawezi kuishi Bumbuli. Bumbling ni jimbo la kituo cha posh tu.
Bumunda hapo ni Nepi. Acha kuchanganya.Acha uwongo, bumbuli hatumii kilevi.
Yaani Yale mapesa waliyopiga pale Tanesco na yule Shoga yake Maharage Kande, eti Leo apauke!? Acha mzaha Aisee.Ameshaanza kupauka nilimuona pale Kinondoni majuzi ha ha ha
Hahahahahaaa yule moleli??? Yuleee ndo awe waziri wa afya. Nimelia sanaKipara alipelekewa Naibu Swahiba kuchunguza harakat zake za kuelekea Jumba kuu. Yeye bila kustuka akawa anajiimarisha kikampeni2025 na kupanga Baraza kabisa,
1. DaUmmi PM,
2. Bumunda -Foreign,
3. Byabato - Ujenzi,
4. Molel - Afya.