Mzee Kipara anamiss Safari za nje

Mzee Kipara anamiss Safari za nje

Huyo mzee wa mjini hawezi kuishi Bumbuli. Bumbling ni jimbo la kituo cha posh tu.
Kama Shoga yake Nepi. Wote watoto wa mjini hao. Huko shamba wakatafute nini!? Kwani wao wakulima!?
 
Ameshaanza kupauka nilimuona pale Kinondoni majuzi ha ha ha
Yaani Yale mapesa waliyopiga pale Tanesco na yule Shoga yake Maharage Kande, eti Leo apauke!? Acha mzaha Aisee.
 
Kipara alipelekewa Naibu Swahiba kuchunguza harakat zake za kuelekea Jumba kuu. Yeye bila kustuka akawa anajiimarisha kikampeni2025 na kupanga Baraza kabisa,
1. DaUmmi PM,
2. Bumunda -Foreign,
3. Byabato - Ujenzi,
4. Molel - Afya.
Hahahahahaaa yule moleli??? Yuleee ndo awe waziri wa afya. Nimelia sana
 
Back
Top Bottom