Marshall plan
JF-Expert Member
- Nov 3, 2019
- 644
- 980
mataga najua kuna donge limekukaba kwenye koo hebu jikaze kisabuni alafu tulia sindano ikuingie vizuri.Hahahaaaa...... Sioni kabisa kama Chadema mmejiandaa labda aje RC mstaafu awasaidie!
Kwani mlishinda au mlitangazwa?Sizitaki mbichi hizi
Ngoja tuone!Uchaguzi huu msimamizi ni UN na EU, kura zitapigwa kwa uwazi na kuhesabiwa live kama ilivyofanyika uchaguzi wa CCM chini ya wajumbe.
Vitisho vya Jana ilikuwa mbinu ya kudhoofisha mapokezi ila sio Haba, umejionea.Kwani yamezuiwa au wewe uko Namanyele?
Hata wale watu waliondamana wanajua hatashinda lakini ni muhimu kuwaachia wananchi mara moja moja watoe ya moyoni na kuingia barabarani kuandamana. Binadamu hatufanani.Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.
Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?
Maendeleo hayana vyama!
Geti lilifunguliwa ili tathmini ifanyike!mataga najua kuna donge limekukaba kwenye koo hebu jikaze kisabuni alafu tulia sindano ikuingie vizuri.
Kwahiyo Mkuu kwa uelewa wako... Unafikiri Jiwe lilishinda kabisaaa uchaguzi 2015!?!Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.
Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu tambua kwamba MTU WENU alitangazwa na Lubuva ,Tofautisha Kushinda na Kutangazwa!! Aliyeshinda mwingine lakini akatangazwa mwingine.Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.
Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?
Maendeleo hayana vyama!
Hii inaitwa Twanga kote kote huku JASUSI huku MBELGIJI.tayari Comrade umeshapanic 🤣 🤣 🤣
Lijualikali alisema Lowassa ndiye aliyeiba kura!Lowassa alikiri aliibiwa kura.
Kwahiyo hadi wenzie watamuunga mkono na kumpigia kampeni Lisu?Kwa iyo unataka sema??? Safari hii hamna wa kumbeba magufuli maana wote kuanzia chamani hadi serikakilini wameshamjua kuwa ni very unpredictable.
Amini nakwambia yaliyotokea Malawi yanaenda kutokea Tanzania hapo October 2020.
Kwa wengi kuanzia wafanyabiashara wakubwa, wananchi na viongozi wenzake, ni heri nchi iende kwa Lissu na Chadema maana wameonesha maturity kuliko Magufuli kupata miaka 5 zaidi
OGOPA WAJUMBE MKUU!!Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.
Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?
Maendeleo hayana vyama!