Binafsi sina hamu na Lowasa...! Ghafla niligeuka kuitwa Ngoyai daughter๐๐๐๐!..kama ni mchezo huyu katuchzea michezo "michafu"
Mungu atatulipia
TATIZO HALIKUWA LOWASA NI MBOWE
Mwaka huu ndio kabisa. Sitaki hata kuwazia.Huu mwaka sitataka kujua kuhusu uchaguzi...ila atakayeenda kupiga kura akitokea hapa kwangu nakata kila kitu! ..siku hyo ntafatilia nyendo zooote za jamaa! Ajichanganye akapige kura...hahhaa....hataamini!.
Uliwaza mbali sana! Mie nilijua maana ya ukombozi imekaribia
Huyo mzee nimgonjwa ...muacheni apumzike na corona yake
Hawa wanasiasa wanatuchosha tu..yeah kila kitu boss!Mwaka huu ndio kabisa. Sitaki hata kuwazia.
Hahahaaa utaka kila kitu... Shauri yako.
taratibu jamaa yangu.mzee yuko kwake masaki anakuna kitambi baada kuwapungisha mikono nyumbu baraabara 2015[emoji23][emoji23]Huyo mzee nimgonjwa ...muacheni apumzike na corona yake
Yaani huyu mamvi alitucgosha wengi. Alafu ghafla akaenda kw a ngoshaMwacheni tu apumzike mzee wa watu. Kazingua sana kwenye game huyo bwana. Kazunguusha watu mikono weee alafu kala chocho dah
Watu wamekufa, watu wamefungwa, watu wamefunga biashara ghafla anarudi chama tawala, mzee mwenye bleach ya kikongo sijui Kama ataenda mbinguniBinafsi sina hamu na Lowasa...! Ghafla niligeuka kuitwa Ngoyai daughter๐๐๐๐!..kama ni mchezo huyu katuchzea michezo "michafu"
Mungu atatulipia
Watu wamekufa, watu wamefungwa, watu wamefunga biashara ghafla anarudi chama tawala, mzee mwenye bleach ya kikongo sijui Kama ataenda mbinguni
Hii haikua 2015 wakati huyo mtumishi alitembea peku?
Maamuzi ya mtu.
Jambo gani mkuu tujulishe basiAna jambo sasa muache apunzike
Msaliti kivipi! We endelea tu kuamini kuwa watu wanaingia kwenye siasa kwa lengo la kukufurahisha wewe.
Hachambwi bali anauliziwa yuko wapiEnyi watu mnaomchamba Mzee wa watu,jitafakarini sana maana shida zenu zisiwe sababu ya kulaani watu wengine.
Yuko nyumbani kwakeWakuu Salaam;
Mzee wetu wa siku nyingi katika Nchi yetu hasa katika tasnia ya Siasa kawa kimya sana.
Nimeona nimuulizie sababu ni muhimu kujua hawa Viongozi wamepotelea wapi, wana mchango mkubwa sana nchini.
Wengine wanasikika mara kwa mara hata kama Covid-19 ipo hewani.
Anayejua yuko wapi atupe mbili tatu siku iishe haraka.
Yeye na jiwe wamejifichaMwacheni tu apumzike mzee wa watu. Kazingua sana kwenye game huyo bwana. Kazunguusha watu mikono weee alafu kala chocho dah