Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
LolBinafsi sina hamu na Lowasa...! Ghafla niligeuka kuitwa Ngoyai daughter๐๐๐๐!..kama ni mchezo huyu katuchzea michezo "michafu"
Mungu atatulipia
Nyuumbu na vinyonga
Taja "mchango mkubwa" mmoja wa LowassaNimeona nimuulizie sababu ni muhimu kujua hawa Viongozi wamepotelea wapi, wana mchango mkubwa sana nchini.
Watu wamekufa, watu wamefungwa, watu wamefunga biashara ghafla anarudi chama tawala, mzee mwenye bleach ya kikongo sijui Kama ataenda mbinguni
Usimuingize Mungu kwa matatizo.yako.tu ya kufikiriBinafsi sina hamu na Lowasa...! Ghafla niligeuka kuitwa Ngoyai daughter๐๐๐๐!..kama ni mchezo huyu katuchzea michezo "michafu"
Mungu atatulipia
Wanaogopa kujitokeza, mambo yako mengi huku mitaaniYeye na jiwe wamejificha
The best comment in this post. Hakuna mchangiaji mzuri kama wewe.watu walikua wanamuita fisadi na majina ya kila aina wengine mpaka wakamuimba kwenye nyimbo zao
mzee wa watu kuangalia watu wenyewe wengi ni watoto wajuzi juzi tu 90s ndo wanachonga sana eti wanataka mabadiliko hahahaaa
mzee akaona ngojea niingie mzigoni sasa niwafundishe siasa bila huruma kawapigisha mpaka deki kwenye jua kali halafu mwisho wa siku kapita hivi
yaani nahisi kipindi kile cha kampeni akikaa kwenye tv kuangalia alivyokua anawakusanya watu na kuwazungusha mikono alikua anacheka hadi hasira zote za kuitwa fisadi ziliisha๐๐๐๐
alikua anajiuliza hivi hawa watu wanaakili kweli yaani urais unapatikana kiurahisi rahisi tu anapata nguvu tena kesho yake anaamka kwenye kampeni anazungusha watu mikono anaingia kwenye chopa motooooo
kiongozi umemaanisha kweli ulichoandikaThe best comment in this post. Hakuna mchangiaji mzuri kama wewe.
Yapo maeneo mengi ila ni kwenye tasnia nzima ya siasa, kijamii na kiuchumi pia.Taja "mchango mkubwa" mmoja wa Lowassa
Kumuamini mwanasiasa ... Ni moja ya sehemu ya ukichaaMwacheni tu apumzike mzee wa watu. Kazingua sana kwenye game huyo bwana. Kazunguusha watu mikono weee alafu kala chocho dah
Unemwona kwenye uchungaji? Au unamanisha awachunge wale aliokimbilia huko tena mara nyingnMwacheni huyo mzee achunge n'gombe zake chache zilizobaki
Wakulaumu ni January Makamba aliyehamasisha tusitumie ile B sijui VREnyi watu mnaomchamba Mzee wa watu,jitafakarini sana maana shida zenu zisiwe sababu ya kulaani watu wengine.
Hakuna mtu mwenye wajibu wa kuyafanya bora maisha yako isipokuwa wewe mwenyewe.
Una nguvu,akili timamu,na afya njema,jiunge kwenye mchezo.Usisubiri mtu mwingine acheze ili ufurahi.Chukua hatua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mchangiaji mzuri kama wewe. Good, umekumbushia mbali.watu walikua wanamuita fisadi na majina ya kila aina wengine mpaka wakamuimba kwenye nyimbo zao
mzee wa watu kuangalia watu wenyewe wengi ni watoto wajuzi juzi tu 90s ndo wanachonga sana eti wanataka mabadiliko hahahaaa
mzee akaona ngojea niingie mzigoni sasa niwafundishe siasa bila huruma kawapigisha mpaka deki kwenye jua kali halafu mwisho wa siku kapita hivi
yaani nahisi kipindi kile cha kampeni akikaa kwenye tv kuangalia alivyokua anawakusanya watu na kuwazungusha mikono alikua anacheka hadi hasira zote za kuitwa fisadi ziliisha๐๐๐๐
alikua anajiuliza hivi hawa watu wanaakili kweli yaani urais unapatikana kiurahisi rahisi tu anapata nguvu tena kesho yake anaamka kwenye kampeni anazungusha watu mikono anaingia kwenye chopa motooooo
Amemaanisha kama mimi nilivyomaanisha.kiongozi umemaanisha kweli ulichoandika
mbona kama imekua kama ni sarcastic hivi au wewe fred lowassa nini
yupo ana angalia vile biashara zake zinapigwa pini now tupo bandarini... Uchungu sanaWakuu Salaam;
Mzee wetu wa siku nyingi katika Nchi yetu hasa katika tasnia ya Siasa kawa kimya sana.
Nimeona nimuulizie sababu ni muhimu kujua hawa Viongozi wamepotelea wapi, wana mchango mkubwa sana nchini.
Wengine wanasikika mara kwa mara hata kama Covid-19 ipo hewani.
Anayejua yuko wapi atupe mbili tatu siku iishe haraka.
Humjuwi /simjuwi Lowasa kwa hiyo tujifunze kukaa kimyaHakuna mchangiaji mzuri kama wewe. Good, umekumbushia mbali.