Mzee Lowassa yuko wapi?

Mzee Lowassa yuko wapi?

Watu wamekufa, watu wamefungwa, watu wamefunga biashara ghafla anarudi chama tawala, mzee mwenye bleach ya kikongo sijui Kama ataenda mbinguni
 

Attachments

  • 5159C02D-1748-446C-A8A9-139385B5CACA.jpeg
    5159C02D-1748-446C-A8A9-139385B5CACA.jpeg
    6.9 KB · Views: 2
Binafsi sina hamu na Lowasa...! Ghafla niligeuka kuitwa Ngoyai daughter😆😆😆😆!..kama ni mchezo huyu katuchzea michezo "michafu"
Mungu atatulipia
Usimuingize Mungu kwa matatizo.yako.tu ya kufikiri
Na ujanja wako.wote huo uliamini kwamba Lowassa atakuwa rais?
 
watu walikua wanamuita fisadi na majina ya kila aina wengine mpaka wakamuimba kwenye nyimbo zao
mzee wa watu kuangalia watu wenyewe wengi ni watoto wajuzi juzi tu 90s ndo wanachonga sana eti wanataka mabadiliko hahahaaa
mzee akaona ngojea niingie mzigoni sasa niwafundishe siasa bila huruma kawapigisha mpaka deki kwenye jua kali halafu mwisho wa siku kapita hivi
yaani nahisi kipindi kile cha kampeni akikaa kwenye tv kuangalia alivyokua anawakusanya watu na kuwazungusha mikono alikua anacheka hadi hasira zote za kuitwa fisadi ziliisha😂😂😂😂
alikua anajiuliza hivi hawa watu wanaakili kweli yaani urais unapatikana kiurahisi rahisi tu anapata nguvu tena kesho yake anaamka kwenye kampeni anazungusha watu mikono anaingia kwenye chopa motooooo
 
watu walikua wanamuita fisadi na majina ya kila aina wengine mpaka wakamuimba kwenye nyimbo zao
mzee wa watu kuangalia watu wenyewe wengi ni watoto wajuzi juzi tu 90s ndo wanachonga sana eti wanataka mabadiliko hahahaaa
mzee akaona ngojea niingie mzigoni sasa niwafundishe siasa bila huruma kawapigisha mpaka deki kwenye jua kali halafu mwisho wa siku kapita hivi
yaani nahisi kipindi kile cha kampeni akikaa kwenye tv kuangalia alivyokua anawakusanya watu na kuwazungusha mikono alikua anacheka hadi hasira zote za kuitwa fisadi ziliisha😂😂😂😂
alikua anajiuliza hivi hawa watu wanaakili kweli yaani urais unapatikana kiurahisi rahisi tu anapata nguvu tena kesho yake anaamka kwenye kampeni anazungusha watu mikono anaingia kwenye chopa motooooo
The best comment in this post. Hakuna mchangiaji mzuri kama wewe.
 
Enyi watu mnaomchamba Mzee wa watu,jitafakarini sana maana shida zenu zisiwe sababu ya kulaani watu wengine.

Hakuna mtu mwenye wajibu wa kuyafanya bora maisha yako isipokuwa wewe mwenyewe.

Una nguvu,akili timamu,na afya njema,jiunge kwenye mchezo.Usisubiri mtu mwingine acheze ili ufurahi.Chukua hatua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakulaumu ni January Makamba aliyehamasisha tusitumie ile B sijui VR
 
watu walikua wanamuita fisadi na majina ya kila aina wengine mpaka wakamuimba kwenye nyimbo zao
mzee wa watu kuangalia watu wenyewe wengi ni watoto wajuzi juzi tu 90s ndo wanachonga sana eti wanataka mabadiliko hahahaaa
mzee akaona ngojea niingie mzigoni sasa niwafundishe siasa bila huruma kawapigisha mpaka deki kwenye jua kali halafu mwisho wa siku kapita hivi
yaani nahisi kipindi kile cha kampeni akikaa kwenye tv kuangalia alivyokua anawakusanya watu na kuwazungusha mikono alikua anacheka hadi hasira zote za kuitwa fisadi ziliisha😂😂😂😂
alikua anajiuliza hivi hawa watu wanaakili kweli yaani urais unapatikana kiurahisi rahisi tu anapata nguvu tena kesho yake anaamka kwenye kampeni anazungusha watu mikono anaingia kwenye chopa motooooo
Hakuna mchangiaji mzuri kama wewe. Good, umekumbushia mbali.
 
Wakuu Salaam;

Mzee wetu wa siku nyingi katika Nchi yetu hasa katika tasnia ya Siasa kawa kimya sana.

Nimeona nimuulizie sababu ni muhimu kujua hawa Viongozi wamepotelea wapi, wana mchango mkubwa sana nchini.
Wengine wanasikika mara kwa mara hata kama Covid-19 ipo hewani.

Anayejua yuko wapi atupe mbili tatu siku iishe haraka.
yupo ana angalia vile biashara zake zinapigwa pini now tupo bandarini... Uchungu sana
 
Back
Top Bottom