Mzee Lowassa yuko wapi?

Mzee Lowassa yuko wapi?

Umati mkubwa sana. Sijui Chadema walifanya trick photography? Lakini kwa crowds Kama hizi huyu anaweza Rais wakati wowote kwa sababu anaweza kuiunganisha nchi.
Wamempiga chini wanasema Hana uhusiano nzuri na Nyerere, lakini utaona familia ya Nyerere haina uhusiano nzuri na hao wanaosema wanaipigania.
Hapa ukitaka Rais Samia ajiuzulu for any reason,huyu ndiye atakuwa the best candidate kumalizia hii awamu.
Mungu hapendi wanafiki.
 
Watu wamekufa, watu wamefungwa, watu wamefunga biashara ghafla anarudi chama tawala, mzee mwenye bleach ya kikongo sijui Kama ataenda mbinguni
Kama ni Mbinguni kwa Yehova hafiki. Ila kama mbinguni kwa shetani ataenda
 
Alishatubu kanisani dhambi zote alizofanya kwa mawazo,kwa maneno ,kwa matendo na kwa kutotimiza wajibu sasa anasubiri kwenda zake mbinguni
Mwenyezi Mungu sio tu hasikilizi maombi ya mnafiki bali hata hayamfikii
 
Inasikitisha sana namna watu wanavyoleta mizaha na masikhara kwenye afya ya mtu!
Mzee Lowasa ni mwanasiasa lakini ni kama Baba/Babu yetu, tumuheshimu hata kwa hilo please.
 
Back
Top Bottom