granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
kasema kesi yake ilikuwa ni dhidi ya bodi ya wadhamini (board of trustee) na siyo dhidi ya uongozi wa yanga. kasema hana shida na uongozi wa yanga. (ila hapa kama kuna kamtego fulani)
kimsingi alhaji rage kasema magoma anatakiwa kuelimishwa tu, maana madai yake ni ya kijinga, akielimishwa ujinga utamtoka.
ephen_ upo mama?
kimsingi alhaji rage kasema magoma anatakiwa kuelimishwa tu, maana madai yake ni ya kijinga, akielimishwa ujinga utamtoka.
ephen_ upo mama?