Mzee Magoma akana kushinda kesi dhidi ya uongozi wa Yanga

Mzee Magoma akana kushinda kesi dhidi ya uongozi wa Yanga

Kumbe rage hakuonea mtu alipowaita wale jamaa mbumbumbu
rage kanikosha sana, kasema ebu tuchezeni mpira bwana tuache ujinga ujinga. tangia lini ishu za mpira wa miguu zikapelekwa mahakama za kiraia? nikasema hapa rage kamuita hakimu mbumbumbu pia.


halafu kumbe yanga hawakwenda kwenye hyo kesi, kesi imeamuliwa kwa kusikilizwa upande mmoja wa magoma tu
 
Hua nasema siku zote, Mkwere alishatujulia akasema "huu ni upepo tu utapita" Kwa hiyo kauli, acha wamtunuku PhD.

Likitokea jambo tunazoza tunazoza tunazoza likija jipya, tunaondoka nalo na lile la awali linazima.
Vijiwe vyote leo watu wanajadili kiundani sakata hilo 😄

Ova
 
Goli la mkono la Nape ndio limezimwa hivyo.

Na Mizwazwa ya Kibongo inashupaza mishipa ya vinyeo kuongelea uraisi wa Hersi badala ya kujadili hoja kuu fikirishi iliyotolewa na Waziri.

Ila Afrika na hasa TZ ni raha sana, kuzima scandal yeyote unatengeneza connection ya ngono au mjadala wa kipuuzi tu.

Ingekuwa kwa wenzetu saa hizi Nape angekuwa kijijini kwao anaroga kuzima scandal ikiwa na uwaziri keshavuliwa.
 
Kutawala hii nchi rahisi sana.

Kwa kauli ya wizi wa kura, leo ingekua patashika.
Sana tena.

Usistaajabu kesho ukasikia Diamond kafumaniwa na mizwazwa ya Kibongo yote itaanza kujadili hilo fumanizi na kuomba 'connection za video'.
 


Mzee tayr ashapigiw sim nzito ?
Kapewa Mlungula ama kapigwa biti ?
 
Ngoja tukupe ww labda utaweza
Hyo club imeshafilisiwa na GSM hata umpe Elon musk ataikimbia.unajua club ya yanga Ina kiasi Gani kwenye account bank?timu Haina hela mwenye hela GSM ndo anasimamia.leo hata wazee wakiachiwa timu wataachiwa na 0 balance
 
Back
Top Bottom