granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
Nipokasema kesi yake ilikuwa ni dhidi ya bodi ya wadhamini (board of trustee) na siyo dhidi ya uongozi wa yanga. kasema hana shida na uongozi wa yanga. (ila hapa kama kuna kamtego fulani)
kimsingi alhaji rage kasema magoma anatakiwa kuelimishwa tu, maana madai yake ni ya kijinga, akielimishwa ujinga utamtoka.
ephen_ upo mama?
βSiwezi kuelewa mahakama inafanya kazi gani, kwa sababu mimi ndio mstahili wa kupewa hukumu. Hizi ni propaganda. Mimi bado Eng. Hersi ni kiongozi wangu pamoja na bodi yake. Lakini kama itatokea jambo lingine lolote kupitia kwangu, mimi mwenyewe nitaita vyombo vya habari nitaongea navyo. Lakini haya yaliyotokea jana [kushinda kesi dhidi ya uongozi Yanga] hazina ukweli.β
Juma Magoma,
Mwanachama Yanga
View attachment 3044461
missing yu madame.Nipo
Mwambieni Ephen aache hasira,huh mchezo,hautaki hasiraβSiwezi kuelewa mahakama inafanya kazi gani, kwa sababu mimi ndio mstahili wa kupewa hukumu. Hizi ni propaganda. Mimi bado Eng. Hersi ni kiongozi wangu pamoja na bodi yake. Lakini kama itatokea jambo lingine lolote kupitia kwangu, mimi mwenyewe nitaita vyombo vya habari nitaongea navyo. Lakini haya yaliyotokea jana [kushinda kesi dhidi ya uongozi Yanga] hazina ukweli.β
Juma Magoma,
Mwanachama Yanga
View attachment 3044461
That's lovely to hearmissing yu madame.
Spinning...βSiwezi kuelewa mahakama inafanya kazi gani, kwa sababu mimi ndio mstahili wa kupewa hukumu. Hizi ni propaganda. Mimi bado Eng. Hersi ni kiongozi wangu pamoja na bodi yake. Lakini kama itatokea jambo lingine lolote kupitia kwangu, mimi mwenyewe nitaita vyombo vya habari nitaongea navyo. Lakini haya yaliyotokea jana [kushinda kesi dhidi ya uongozi Yanga] hazina ukweli.β
Juma Magoma,
Mwanachama Yanga
View attachment 3044461
Kumbe rage hakuonea mtu alipowaita wale jamaa mbumbumbukasema kesi yake ilikuwa ni dhidi ya bodi ya wadhamini (board of trustee) na siyo dhidi ya uongozi wa yanga. kasema hana shida na uongozi wa yanga. (ila hapa kama kuna kamtego fulani)
kimsingi alhaji rage kasema magoma anatakiwa kuelimishwa tu, maana madai yake ni ya kijinga, akielimishwa ujinga utamtoka.
ephen_ upo mama?
Anae faa ni nani, babaaako ama?Mzee mmemtishia kumbana makende kaogopa.ila ukweli GSM hafai kuwa kiongozi hapo utopolo
Wazee wapewe timu yao.Anae faa ni nani, babaaako ama?
Hasira lazima niwe nayo! Guede kaachwa kizembeMwambieni Ephen aache hasira,huh mchezo,hautaki hasira
Ila Guede ndiyo hatokuwepo kwenye chama letu msimu ujao.Watu weuweee...!
Yanga bado tupo imara sana tuβΊοΈπππ₯
Msimu ujao mimi nitakua shabiki wa SingidaIla Guede ndiyo hatokuwepo kwenye chama letu msimu ujao.
Nitakurudisha tu kwa nguvu. Maana hakuna namna nyingine.Msimu ujao mimi nitakua shabiki wa Singida
Yanga hamna jipyaNitakurudisha tu kwa nguvu. Maana hakuna namna nyingine.
Hua nasema siku zote, Mkwere alishatujulia akasema "huu ni upepo tu utapita" Kwa hiyo kauli, acha wamtunuku PhD.Wabongo washaletewa jambo
Wabadilishwe bongo
Ova