granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
rage kanikosha sana, kasema ebu tuchezeni mpira bwana tuache ujinga ujinga. tangia lini ishu za mpira wa miguu zikapelekwa mahakama za kiraia? nikasema hapa rage kamuita hakimu mbumbumbu pia.Kumbe rage hakuonea mtu alipowaita wale jamaa mbumbumbu
Vijiwe vyote leo watu wanajadili kiundani sakata hilo 😄Hua nasema siku zote, Mkwere alishatujulia akasema "huu ni upepo tu utapita" Kwa hiyo kauli, acha wamtunuku PhD.
Likitokea jambo tunazoza tunazoza tunazoza likija jipya, tunaondoka nalo na lile la awali linazima.
Kutawala hii nchi rahisi sana.Vijiwe vyote leo watu wanajadili kiundani sakata hilo 😄
Ova
Sana tena.Kutawala hii nchi rahisi sana.
Kwa kauli ya wizi wa kura, leo ingekua patashika.
Ngoja tukupe ww labda utawezaMzee mmemtishia kumbana makende kaogopa.ila ukweli GSM hafai kuwa kiongozi hapo utopolo
Nakusalimia mtoto mzuriAbee
Hyo club imeshafilisiwa na GSM hata umpe Elon musk ataikimbia.unajua club ya yanga Ina kiasi Gani kwenye account bank?timu Haina hela mwenye hela GSM ndo anasimamia.leo hata wazee wakiachiwa timu wataachiwa na 0 balanceNgoja tukupe ww labda utaweza
Asante.Nakusalimia mtoto mzuri
Una akili sana.Mnachezewa hapa kweny ishu ya NAPE
Juma Magoma siyo mtu mzuri hata kidogo, ameushindilia ule mwiko hadi umezama kabisa ndani.Daima mbele Nyuma mwiko
Mzee Juma Magoma naye anakusalimu sana.Asante.
Sitaki ukorofi😂Mzee Juma Magoma naye anakusalimu sana.
Anasema hata akifa leo uende kwake ukashirikiane na watoto wake kusoma qoul juan ili wabaya wake wapukutike wote.Sitaki ukorofi😂
Wewe Kolo kumbeAnasema hata akifa leo uende kwake ukashirikiane na watoto wake kusoma qoul juan ili wabaya wake wapukutike wote.
Mimi Kuhani Mkuu.Wewe Kolo kumbe
Naipenda Simba mshabiki wa damu.Wewe ni Simba au Yanga
🚮KwendaNaipenda Simba mshabiki wa damu.