JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo magoma hata ashtui,hata ukisiliza hoja zake hazina maana zaidi ya njaa tu,eti na yy anataka atambulike 😀Kuimba kupokezana, wakati Kilomoni analeta usumbufu Yanga ndiyo walikuwa wanamshangilia hadi wakamkaribisha kwenye tafrija yao. Magoma akaribishwe kwenye Simba day.
Ni dalili za mtu jeurihuyo mzee ndo anavaa hivyo baragashia..😂
Huyo mtangazaji naye mbona ana utoto sana ni nani? Hawa ndo huwa wanakuwa mashoga.Interview hii aliifanya siku za nyuma, sio mpya.
Kitenge huyo..huyu sio mtangazaji ni mropokajiHuyo mtangazaji naye mbona ana utoto sana ni nani? Hawa ndo huwa wanakuwa mashoga.
Ishu sio ya Mzee Magoma tena, ishu ni ya Mahakama. Kwa hiyo kukazia hukumu ya mahakama inaweza ikaja kampuni ya udalali kuondoa vitu vyote vya Hersi pale makao makuuHuyo magoma hata ashtui,hata ukisiliza hoja zake hazina maana zaidi ya njaa tu,eti na yy anataka atambulike 😀
Wanatibua mipangoMaulid na ubabe wake Magoma kamweka sawa
Hao wazee wapewe tu mikoba hivi hivi Yanga itakuwa na meza yao huko mahakamani.
Migogoro haitaisha.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyo mzee ndo anavaa hivyo baragashia..😂