mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hela za jezi,hela za mapato ya mlangoni,hela za mapato za caf.Ameiba nini?
Hakuna mapato wala matumizi,hesabu zote anajua yeye na genge lake,anapika hesabu n.k
Kiufupi GSM ni jipu ndo maana wazee wameamka.aondoke hatumtaki