Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mahakama kuna appeal,na hapo hamna kesi,mo aje kupambana kiume sio atafute Yanga dhaifu,ameshindwa kufanya alichofanya kwa manji ndio anawatumia hao wazee njaaIshu sio ya Mzee Magoma tena, ishu ni ya Mahakama. Kwa hiyo kukazia hukumu ya mahakama inaweza ikaja kampuni ya udalali kuondoa vitu vyote vya Hersi pale makao makuu