King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Akaanzishe TIMU yake huyo Mzee MAGOMA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatafuta v8 na yeye jamani,enzi zao kulikuwa hamna.Huyo magoma hata ashtui,hata ukisiliza hoja zake hazina maana zaidi ya njaa tu,eti na yy anataka atambulike 😀
Hizi ni akili za matako, Mo anahusikaje hapomo aje kupambana kiume sio atafute Yanga dhaifu,ameshindwa kufanya alichofanya kwa manji ndio anawatumia hao wazee njaa
Hizo ni furaha za muda mfupi baadae mtarudi kwenye milio yenuMaandamano kama unavyoona, hayapo tena. Msala umehamia huko
Manara alituambia utopolo wenye akili ni wawili tu.k
Mbumbumbu kwenye one and twoPale Uto wamejaa mafia wanaodhamini hela kuliko utu. Huyu mzee anaweza kuuwawa
umbe alituongopea wengine wapo
Timu yako na nani?Udanganyifu kwa Sasa hatuna nafasi kwenye timu yetu.Gsm anapaswa kuondoka na kuiacha timu kwa wenye timu yao.kwanini hamtaki kufuata katiba ya timu yetu?kisa GSM ana mali ndo mnavunja katiba?
Basi tulieni ligi ianzeLa Mangungu tumeshalimaliza, ni mwenyekiti wetu hadi amalize muda wake.
Tajiri na mali zake masikini na timu yaoSi ndio mbumbumbu wanashadadia vitu wasivyo jua mtu hana hajalipia kadi ya uanachama wala hana tawi sasa si kupoteza muda tu
Mzee magoma moto,kiboko ya matapeli GSMTimu yako na nani?
Ooooh.... Kumbe ni demu wa uswahilini.Kitenge huyo..huyu sio mtangazaji ni mropokaji
Sasa hv hadi mawe yatamtambua magoma ndo yuko kwa peak sasaaaHuyo magoma hata ashtui,hata ukisiliza hoja zake hazina maana zaidi ya njaa tu,eti na yy anataka atambulike 😀
Ameiba nini?GSM atuachie timu yetu.WIZI SASA BASI.yanga Ina wenyewe
Magoma katema bungo,makolo tafuteni njia mbadala hii imebumaHizi ni akili za matako, Mo anahusikaje hapo