Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mahakama kuna appeal,na hapo hamna kesi,mo aje kupambana kiume sio atafute Yanga dhaifu,ameshindwa kufanya alichofanya kwa manji ndio anawatumia hao wazee njaaIshu sio ya Mzee Magoma tena, ishu ni ya Mahakama. Kwa hiyo kukazia hukumu ya mahakama inaweza ikaja kampuni ya udalali kuondoa vitu vyote vya Hersi pale makao makuu
Amewatumiaje hapo wazeeMahakama kuna appeal,na hapo hamna kesi,mo aje kupambana kiume sio atafute Yanga dhaifu,ameshindwa kufanya alichofanya kwa manji ndio anawatumia hao wazee njaa
GSM atuachie timu yetu.WIZI SASA BASI.yanga Ina wenyeweAnataka teuzi mjinga huyo
Mkalibisheni hamja chelewa bado, vipi yale maandano ya kumng'oa Mangungu yaneishia wapiKuimba kupokezana, wakati Kilomoni analeta usumbufu Yanga ndiyo walikuwa wanamshangilia hadi wakamkaribisha kwenye tafrija yao. Magoma akaribishwe kwenye Simba day.
Mangungu kasha waachia timu yenu?GSM atuachie timu yetu.WIZI SASA BASI.yanga Ina wenyewe
Teuzi au ada ya watoto?Anataka teuzi mjinga huyo
La Mangungu tumeshalimaliza, ni mwenyekiti wetu hadi amalize muda wake.Mkalibisheni hamja chelewa bado, vipi yale maandano ya kumng'oa Mangungu yaneishia wapi
Mdau mmoja amesema wamezoea kupaa,Wazee wengi wa hizi Club wana penda umwinyi wamezoea mambo ya zamani
KaWaida tu,Rage,ndolanga malinzi,waliwahi kufungwa sababu ya mpirakisutu hadi michezo mweee
Udanganyifu kwa Sasa hatuna nafasi kwenye timu yetu.Gsm anapaswa kuondoka na kuiacha timu kwa wenye timu yao.kwanini hamtaki kufuata katiba ya timu yetu?kisa GSM ana mali ndo mnavunja katiba?Mangungu kasha waachia timu yenu?
Mo anaingiaje hapo tena?Mahakama kuna appeal,na hapo hamna kesi,mo aje kupambana kiume sio atafute Yanga dhaifu,ameshindwa kufanya alichofanya kwa manji ndio anawatumia hao wazee njaa
Maandamano kama unavyoona, hayapo tena. Msala umehamia hukoMkalibisheni hamja chelewa bado, vipi yale maandano ya kumng'oa Mangungu yaneishia wapi
Usiwadharau hao unaowaita wajinga, especially wakiungana. Madhara yao ni makubwa.Wazee wengi wa hizi Club wana penda umwinyi wamezoea mambo ya zamani
Hiyo timu inaongoza kufitini timu nyingine.Huyo magoma hata ashtui,hata ukisiliza hoja zake hazina maana zaidi ya njaa tu,eti na yy anataka atambulike 😀