Mzee Makamba ahamaki alipoulizwa kuhusu mgao wa umeme nusu amlambe vibao mwandishi wa habari

Acheni uzushi sasa mzee wa watu neema imependeleaa unataka akajifiche

Juta kwann ww bab ako ajaingia ktk siasa
Acheni chuki watanzaniaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Baba ni mlamba asali mkongwe, na mtoto ni mlamba asali. Lazima amtetee mwanae ili alambe asali. Kiufupi ccm ni kikundi cha walamba asali ambao wapo madarakani.
Hata wew hata kama bab ako angekuwa ccm ungelamba asali tu mm siwezi mlaumu mzee wa watu wala kijana ake ni neema imetembeleaa
 
Eti bhna mtu siyo waziri alfu unaaenda kumuoji vitu asivyo vifahamu

Mm ningekuta yule mzee ningemlamba makofi kama simalenga

Waandishi gani hawa wametoka vyio gani
Sasa kama sio Waziri kwanini alikubali kwenda kuojiwa na waandishi,Yeye ni katibu mkuu msitafu, hivyo bado chama kinamtumia kama mshauri, hauwezi tenganisha Serikali na CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…