Mzee Makamba ahamaki alipoulizwa kuhusu mgao wa umeme nusu amlambe vibao mwandishi wa habari

Watu weusi tupo kama duplicate, nina mashaka hatukuumbwa sawa na wenzetu wengine..
😂
Nahisi kuna cell zilipungua kwenye ubongo. Maana wazungu toka 500BC washastaarabika. Akina periplus of the ethrean sea na vasco da gama wamekuja afrika masharikia mwaka 1400 huko. Sisi hata mababu zetu kwenda ulaya kusurvey hawajawahi kwenda 😂😂
 
Yusuph Makamba aulizwa kuhusu ukosefu wa umeme na Maji Nchini, amshambulia vikali mwandishi "kuwa na shukrani"
View attachment 2438761
Viongozi wa nchi hii wana mentality kwamba wanayoyafanya ni hisani na huruma yao kwa wananchi ndio maana anasema kuwa na shukrani kama vile kinachofanyika ni msaada na huruma.

Sema huyu mzee ukimkuta kitaa mtu poa sana hasa timu yake ya mpira ikifunga
 
Lizee hilk busara zero kabisa sababu ya kuvimbiwa asali
Hahaha hana shida kwake kuna generator automatic umeme ukikataa linajiwasha tu na hata hivyo nadra kukatika maana line yake ni ya kiwanda cha wazo kwa maji na umeme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…