Mzee Makamba ahamaki alipoulizwa kuhusu mgao wa umeme nusu amlambe vibao mwandishi wa habari

Mipango ya kwenye makaratasi ipo na ni mikubwa na yenye kuvutia kwelikweli, utekelezaji ni kitu kingine 🥴
 
Itafika kipindi hata hao polisi wataona ni ujinga kuiba na kupiga wananchi kisa kura ambapo watawala wakija tunapata tabu wote.

Now umeme unakatika iwe kwa polisi au raia
Now asilimia 23 hawajaongezewa polisi wala raia
Mfumuko wa bei na ugumu wa maisha uko kwa polisi na rais hivyo hakuna jipya watajifunza jambo hivi karibuni
 
Siku zote maswali magumu ya mbabatizo huwaga hayapati majibu

Nakumbuka mzee wangu Saidi Kamtawa aka Saidi TANU alipostaafu kumuendesha Nyerere alikataa kabisa kupewa vyeo vya kisiasa

Mlale unono!
 
07 December 2022
Dodoma, Tanzania

Katibu mkuu mstaafu wa CCM Yusuph Makamba ageuka mbogo aliyejeruhiwa


Ni kutoka katika mkutano mkuu wa 10 wa CCM unaofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma, Tanzania leo Desemba 7, 2022.
Source : mwananchi digital
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…