Mzee Makamba aliwaza nini kusema ''Watu wazuri hawafi''?

Mzee Makamba aliwaza nini kusema ''Watu wazuri hawafi''?

Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya? Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Yule mzee aliongozwa na ujinga uliopita kiwango kutamka jambo hili huku akitolea mifano ya watu waliohai

Kama angekuwa anamaana ya watu wazuri hawafi ni wale wanaoacha legacy, asingelitaja majina ya waliohai kusisitizia mfano wake

Ni tamko la kijinga kutoka kwa mtu asiyedhaniwa kutamka hivyo na litaendelea kumtafuna yeye na famila yake hadi atakapojitokeza kuomba msamaha kwa kinywa chake yeye
 
Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...

Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.
Hii ni maana halisi (ya kifalsafa) ya huo msemo. Lakini sio maana aliyomaanisha mzee MaROPE alipoongea katika mazingira na muktadha alipoongea.

Ndio maana hata Mama SSH alimuombea msamaha kuwa "mzee aliteleza".
 
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya? Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
. alikuwa anamaanisha Marais wazuri hawafii madarakani sababu watu wengi wanawaombea na Mungu anawasikiliza.....Wauaji wanakufa mapema sababu Mungu hapendi uonevu
 
Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...

Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.
Alitolea mfano kinana na kikwete..je wana legacy ipi? Na je wamekufa tayari?

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Tusilaumu hayo ni mambo yao hayatuhusu.
Tuwaachie tu waendelee kutafutana.
 
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya? Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Alifanikiwa kumroga adui yake na kumuua ndo maana alijitapa kuwa watu wema hawafi haraka
 
Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...

Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.
Hakumaanisha hivyo.
Usimlishe maneno.
Tafuta hiyo clip, uisikilize kwa kutulia.
Anasema wema hawafi na ndiyo maana mzee fulani na fulani (akiwataja kwa majina), wapo hadi leo!
 
Katika Philosophy MTU mzuri huwa hafariki

Mfano tazama katika familia yako utapata jibu

Pia tazama kuhusu Mandela na Nyerere.


Mzee Mkamba he was right to speak that ila watu wameshindwa kuelewa hili jambo .


Binadamu mzuri mwenye utu huwa anaondoka katika mwili wa nyama Ila yeye anaendelea kuishi.
Uongo, tafuta clip yake YouTube uisikilize vzr.
Msitufanye wajinga/mbumbumbu
 
"Ni mashaka na angaiko ,wema hawana maisha" - Patrick Balysida

"Tumekubali yanayosemwa na watu. Ni kweli! Wanaopendwa na watu siku zote, hufa angali vijana" -Vijana Jazz
 
Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...

Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.

Habari yako Mh Waziri wa Mambo Nje kumbe hii ndo account yako?

Ila ulichosema ni ukweli mtupu.
 
Hii ilikuwa kauli ya kifalsafa ila kwasababu watanzania wengi ni wapumbavu ndio maana wameshindwa kuielewa.
Kabisa mkuu, watz wengi sana ni wapumbavu......inasikitisha kuwaona wamejaa humu tele. Wengine wanatiwa upumbavu na chuki na ufuasi wao.
 
Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...

Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.
Huyu si ndo Maguire, huoni hapo ubungo na mbezi
 
Back
Top Bottom