pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Alisahau kuwa yeye nae ni 'raia pacha'Maana yake yeye hafi sababu yeye ni mzuri
Huyu mzee kusema kweli busara hakujaaliwa a,k,a, busara iz not reachable!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisahau kuwa yeye nae ni 'raia pacha'Maana yake yeye hafi sababu yeye ni mzuri
SawaSiyo kweli
Kwakweli kwa kauli hii alikosea sana na ni Kufuru kwa Mwenyezi Mungu anayetujalia uzimaHivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?
Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Uzuri wa Mandela na Nyerere ni upi hasaKatika Philosophy MTU mzuri huwa hafariki
Mfano tazama katika familia yako utapata jibu
Pia tazama kuhusu Mandela na Nyerere.
Mzee Mkamba he was right to speak that ila watu wameshindwa kuelewa hili jambo .
Binadamu mzuri mwenye utu huwa anaondoka katika mwili wa nyama Ila yeye anaendelea kuishi.
Ni sawa, Mtu hukumbukwa kwa Mema au Mabaya yake hapa Duniani hata baada ya kufaWazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...
Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.
Sasa wewe unaishi ukisubiri RIP ya mwingine na yako hujui ni lini? Kuna ajali ishaua watu huko barabara ya bagamoyo, daladala na lori zimegongana. Watu wamekufa ambao hawakufikiri kuwa siku yao ni siku ya leo.Na yeye tuna subiri keshokutwa watangaze RIP WAZURI HAWAFI.sasa hivi wako kimya
Rip mzee
"Wazuri hawafi ndio maana Kikwete na Kinana BADO WAPO"Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...
Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.
Kajima Guest House Mwananyamala ina historia Kubwa 🐼
Jangwani na Selender 😄😄KAJIMA na KONOIKE ndiyo waliojenga Barabara ya Morogoro enzi za nyerere.
Hizi ni akili za kimaandazi tu! Kama mtu mzuri hafi inalenga watu waliokufa na wakaacha legacy, ilikuwaje mzee wako Makamba akataja ambao hawajafa? Kwa nini hakuwataja kina Nyerere?Kwa hiyo kikwete hana legacy yeyote ndani ya nchi hii?
Ebu jaribuni kupunguza chuki za kipumbavu hazitakusaidia kupunguza ugumu wako wa maisha.
Jangwani na Selender 😄😄
Kajima wataalamu wa madarajaNdiyo walikuwa wanapark magari yao/vijiko/greda.
Na ndiyo maana tunaendelea kukemea kauli ya mzee wako Makamba!Sasa wewe unaishi ukisubiri RIP ya mwingine na yako hujui ni lini? Kuna ajali ishaua watu huko barabara ya bagamoyo, daladala na lori zimegongana. Watu wamekufa ambao hawakufikiri kuwa siku yao ni siku ya leo.
Huko Mshana Jr aliwashwa vibao na jiniKajima Guest House Mwananyamala ina historia Kubwa 🐼
Ushasema ni mzee. Uzee unakuja na mambo mengi, huwezi jua kichwa chake kilimaanisha nini.Na ndiyo maana tunaendelea kukemea kauli ya mzee wako Makamba!
Mamia kwa maelfu ya watu wanaokufa kila leo, kwake yeye hao wote ni wabaya??
Jinga kabisa
Mara nyingi kufuru hutoka wakati wa over excitement!!!Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?
Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Huyo Nyerere wako Kuna waislamu kibao hapa Bongo hawamkubali achilia mbali watakao kwambia mapito waliyopita watu enzi za vijiji vya ujamaa na sera zake mbovu za kiuchumi zilizopelekea yeye kujiuzulu na vp stori za kina bibi titi na Kambona.tazama kuhusu Mandela na Nyerere.
Kama angekuwa sawa mweshimiwa Rais asingemuombea msamaha. Kwahiyo hakuwa sawa.Mzee Mkamba he was right to speak that ila watu wameshindwa kuelewa hili jambo .
You are right lkn hata watu wabaya hukumbukwa kwa ubaya wao.Binadamu mzuri mwenye utu huwa anaondoka katika mwili wa nyama Ila yeye anaendelea kuishi.
Mataga ndio hawakuielewa.Hii ilikuwa kauli ya kifalsafa ila kwasababu watanzania wengi ni wapumbavu ndio maana wameshindwa kuielewa.
Ulichokifanya mkuu ni kuni 🤣🤣🤣Ushasema ni mzee. Uzee unakuja na mambo mengi, huwezi jua kichwa chake kilimaanisha nini.
Juzi kulikuwa na msiba kuna mzee mmoja kafiwa na mdogo wake watu wanampa pole anauliza nani kafariki, anashangaa kuna msiba? Wakati na yeye yupo msibani. Ubongo ushafuta.
Mwinyi kuna siku aliuliza jukwaani hapa ni wapi? Inamaana ubongo ulishafuta kuwa yupo wapi na anafanya nini hapo.