Mzee Makamba aliwaza nini kusema ''Watu wazuri hawafi''?

Mzee Makamba aliwaza nini kusema ''Watu wazuri hawafi''?

Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?
Hebu kwanza niorodheshee wanafamilia au wana ukoo wake waliofariki, tuanzie hapo kwanza.

Aliyekufa alikuwa mbaya wake, kwani hilo hulijui????????????????????????
 
Unaweza kudhani wewe mwerevu kumbe ndiye mpumbavu.

Kama asingetoa mifano ya walioko hai kwamba," wazuri hawafi ndiyo maana fulani na fulani hawajafa".

Hayo maelezo yange-make sense na wala asingeombewa msamaha hadi na Rais.

Mnatetea ujinga tu.
Wewe si tu kwamba ni mpumbavu, bali ni zwazwa pia
 
Ulichokifanya mkuu ni kuni 🤣🤣🤣

Asante nimeongeza siku za kuishi aisee

Ila Mzee Makamba, alikosea sana
Kwa umri wake yupo katika hatua ya kusema ukweli tuuu. Ubongo wake hauna nafasi tena ya unafiki: toka mwenda zake aondoke familia yake ilionesha kukerwa na uwepo wake kwa hiyo walisherehekea kuondoka kwake
 
Hizi ni akili za kimaandazi tu! Kama mtu mzuri hafi inalenga watu waliokufa na wakaacha legacy, ilikuwaje mzee wako Makamba akataja ambao hawajafa? Kwa nini hakuwataja kina Nyerere?

Mzee wako alitamka neno la kijinga
Mm sijaongelea hayo mm nimemuuliza huyo aliye uliza kuwa kikwete ana legacy gani ndani ya nchi hii.
 
Sasa wewe unaishi ukisubiri RIP ya mwingine na yako hujui ni lini? Kuna ajali ishaua watu huko barabara ya bagamoyo, daladala na lori zimegongana. Watu wamekufa ambao hawakufikiri kuwa siku yao ni siku ya leo.
Kwahiyo unataka kusemaje?
 
Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...

Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.
Mbona alitoa mfano kuwa JK wa msoga ni mzuri hajafa,:Usipoteza maana, ya yule mzee wa kuropoka kama mwanawe. Nasikia huyu mzee, alikuwa mcheza ngoma na baba yake nape alikuwa mwimbaji jeshini. Ndio maana vichwa, vya, watoto wao havipo kisomi. Vipo kichawa na kimajungu.
 
Mbona alitoa mfano kuwa JK wa msoga ni mzuri hajafa,:Usipoteza maana, ya yule mzee wa kuropoka kama mwanawe. Nasikia huyu mzee, alikuwa mcheza ngoma na baba yake nape alikuwa mwimbaji jeshini. Ndio maana vichwa, vya, watoto wao havipo kisomi. Vipo kichawa na kimajungu.
Huu uzi ume editiwa, hata sijui munaongelea nini ama munamuongelea nani, jana wakati unapostiwa Uliuliza tu maana ya neno "wazuri hawafi"
 
Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...

Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.
Nashangaa maneno ya Mzee Makamba kupindishwa hii ndio ilikuwa maana yake
 
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?

Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Siasa hiyo. Kauli ya mwanasiasa hata research study haziwekwi.
 
Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...

Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.

"Watu wazuri hawafi. NDIYO MAANA KINANA BADO YUPO, JAKAYA BADO YUPO ANADUNDA".

Mzee jinsi alivyohitimisha hiyo kauli yake ndipo alipochafua maana halisi ya msemo 'wazuri hawafi'.

-Kaveli-
 
legacy ya kikwete labda urais lkn tukesema kaacha arama gani kwenye urais ni hamna alichoacha,
Ya kwamba Kikwete miaka 10 ya uongozi wake hakuna chochote kizuri alicho ifanyia Tz?

Bila Kikwete kuanzisha mradi wa umeme vijijini wa REA bibi yako huko kijijini angekuwa anajua hata balbu ya umeme inafananaje?
Bila kikwete kuanzisha sera ya elimu kwa wote kwa kuanzisha shule za kata ww mtoto wa mlala hoi ungejua hata radha ya elimu inafananaje?
Hapa Tz kuna kiongozi aliye jenga km nyinyi za barabara kumzidi kikwete?

Huo umeme mlio kuwa mnamsifu kuwa haukatiki asilimia 65 ya vyanzo vyake si vilijengwa na huyo kikwete?

Kipindi cha kikwete ndo wakati ambao watz wengi masikini walijikwamua kwenye umasikini.
Hayo ni machache tu yapo mengi.

Mradi pekee wa maana ulio anzishwa na Magufuri ulikuwa ni hili bwawa la Nyerere tu mingine yote ilikuwa ni miradi ya hovyo na isiyo kuwa na manufaa yeyote kwa raia wa kawaida wa Tz zaidi ya manufaa ya kisiasa.
Yaani badala uchukue fedha uongeze mzunguko wa fedha mitaani ili urahisishe maisha ya masikini mitaani ,dabala yake una somba pesa kwa hao masikini na kwenda kununua ndege na kwenda Dodoma kujenga ikulu na majengo ya matrion ya fedha, alafu unajiita rais wa wanyonge.
 
Hii ilikuwa kauli ya kifalsafa ila kwasababu watanzania wengi ni wapumbavu ndio maana wameshindwa kuielewa.

"Watu wazuri hawafi. NDIYO MAANA KINANA BADO YUPO, JAKAYA BADO YUPO ANADUNDA".

Nadhani jinsi alivyohitimisha huo msemo ndipo palileta shida na hadhira ikamtafsiri hivyo walivyomtafsiri.

-Kaveli-
 
Huu uzi ume editiwa, hata sijui munaongelea nini ama munamuongelea nani, jana wakati unapostiwa Uliuliza tu maana ya neno "wazuri hawafi"
Hawez kujadili wazur hawafi bila kumkoti bingwa wake mzee Makamba. Ukisha mkoti unajadili vizuri sana content zake. Kwan kabla ya yeye kusema, huo utumbo wake, hakuna aliyesema ujinga huo. Lakin kama na ww ni chawa wake, kuwa waz tu. Wazur hawafi.
 
Back
Top Bottom