Mzee Makamba aliwaza nini kusema ''Watu wazuri hawafi''?

Mzee Makamba aliwaza nini kusema ''Watu wazuri hawafi''?

Katika Philosophy MTU mzuri huwa hafariki

Mfano tazama katika familia yako utapata jibu

Pia tazama kuhusu Mandela na Nyerere.


Mzee Mkamba he was right to speak that ila watu wameshindwa kuelewa hili jambo .


Binadamu mzuri mwenye utu huwa anaondoka katika mwili wa nyama Ila yeye anaendelea kuishi.
Mbona alitoa Orodha ya watu wazuri ambao kamwe kifo hakiwahusu mf. Kinanaae

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
Mzee hana hekima yule kama mwanae fisadi kuu linalowaza uraisi kwa udi na uvumba, haha
 
Kurogwa? Pacemaker inaweza kuharibiwa electromagnetically..
Katika ufunguzi wa kiwanda cha ngozi pale Morogoro ndo kesi ilifungwa pale.

Kurogwa siyo mpaka utumie tunguli.

Jiulize, four months before kitu gani kilimsukuma Waziri wa Afya wa Marekani kuitangazia dunia kuwa PaceMaker inaweza kuwa hacked kwa electromagnet? Was it a prepadeness kwa kilichokuwa kinatafutwa ama kuagizwa kufanywa?

Haya mambo ya kurogana si mazuri
 
Kabisa mkuu, watz wengi sana ni wapumbavu......inasikitisha kuwaona wamejaa humu tele. Wengine wanatiwa upumbavu na chuki na ufuasi wao.
Unaweza kudhani wewe mwerevu kumbe ndiye mpumbavu.

Kama asingetoa mifano ya walioko hai kwamba," wazuri hawafi ndiyo maana fulani na fulani hawajafa".

Hayo maelezo yange-make sense na wala asingeombewa msamaha hadi na Rais.

Mnatetea ujinga tu.
 
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya? Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
ukiwa na uelewa na Ufahamu mdogo kuhusu, misemo, nahau, na misamiati ya kiswahili ,

maana ya mesemo mbalimbali inaweza kukupa tabu na kukubabaisha kidogo ......
Ni vizuri koamba shule au darasa ukapata maarifa zaidi 🐒

kwa mfano 👇
Katika Philosophy MTU mzuri huwa hafariki

Mfano tazama katika familia yako utapata jibu

Pia tazama kuhusu Mandela na Nyerere.


Mzee Mkamba he was right to speak that ila watu wameshindwa kuelewa hili jambo .


Binadamu mzuri mwenye utu huwa anaondoka katika mwili wa nyama Ila yeye anaendelea kuishi.
jifunze maana mujarabu kwa muungwana asie na hiana hapa 🔥
Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...

Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.
chota ufahamu zaidi kwa muungwana mwingine hapa aliefafanua vema bila choyo 🔥
 
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya? Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Watu wenye tabia ya kusema sema sana na kutaka sifa kwa wasikilizaji huwa wanaropoka maneno mengine ambayo baadaye huwa wanayajutia !!
That’s it !!
 
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya? Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Yussufu Makmba likuwa na kihoro cha mudamrefu na Magufuli.
 
Yule mzee aliongozwa na ujinga uliopita kiwango kutamka jambo hili huku akitolea mifano ya watu waliohai

Kama angekuwa anamaana ya watu wazuri hawafi ni wale wanaoacha legacy, asingelitaja majina ya waliohai kusisitizia mfano wake

Ni tamko la kijinga kutoka kwa mtu asiyedhaniwa kutamka hivyo na litaendelea kumtafuna yeye na famila yake hadi atakapojitokeza kuomba msamaha kwa kinywa chake yeye
That’s it !!
 
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?

Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Aliyesema yupo anaishi Madale
 
Tumsamehe bure siasa ndivyo zilivyo
Yule Mzee hata Mimi nikimsamee bure. Ila asirudie tena hajui tu aliitoa kipindi Watanzania tunafikikilia wakuja kuwatetea Wanyonge, atakayeweza Kuisimamia Miradi Mikubwa ya Kimkakati Mfano Bwawa la Mwalimu Nyerere, Miradi ya Barabara n.k.
Na nilimsamehe hasa baada ya Kumuona Rais wa awamu ya Sita kugundua kauli yake ilikuwa ya Kichawa zaidi na Siyo ya Kibinadamu wa Kawaida (Ilimuuma Mtoto wa Mke wake Kutumbuliwa awamu ya 5), nilimsamehe baada ya Kauli yake ya Ovyo kufunikwa na Utendaji wa Serikali ya awamu ya Sita, nikimsamehe baada ya Kugundua umri umeenda wa yule Mzee, nilimsamehe baada ya Kugundua Mzee hakisei ila anashauriwa na akishauriwa anaelewa na mambo Mengine yanendelea, nilimsamehe Jamani na Nawaomba tumsamehe si tunaona Kazi inaendelea na Mengine Serikali inaendelea kuboresha.
Nb: Mzee Wetu Tumsamehe Jamani amekosa sana na alikosea kwelikweli. Watanzania tuna legacy ya kuendeleza Mazuri na ya Ovyo huwa tunayapotezea.
 
Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...

Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.
Kama Rais Mwendazake legacy aliyotuachia ya kumpiga Risasi 38 RAIA wake Tundu lissu kwa Roho mbaya na HAKUFA hii Legacy itakumbukwa Milele
 
Kwa hiyo kikwete hana legacy yeyote ndani ya nchi hii?
Ebu jaribuni kupunguza chuki za kipumbavu hazitakusaidia kupunguza ugumu wako wa maisha.
Watu wanaangalia mzani unazidi upande gani.
 
Yule Mzee hata Mimi nikimsamee bure. Ila asirudie tena hajui tu aliitoa kipindi Watanzania tunafikikilia wakuja kuwatetea Wanyonge, atakayeweza Kuisimamia Miradi Mikubwa ya Kimkakati Mfano Bwawa la Mwalimu Nyerere, Miradi ya Barabara n.k.
Na nilimsamehe hasa baada ya Kumuona Rais wa awamu ya Sita kugundua kauli yake ilikuwa ya Kichawa zaidi na Siyo ya Kibinadamu wa Kawaida (Ilimuuma Mtoto wa Mke wake Kutumbuliwa awamu ya 5), nilimsamehe baada ya Kauli yake ya Ovyo kufunikwa na Utendaji wa Serikali ya awamu ya Sita, nikimsamehe baada ya Kugundua umri umeenda wa yule Mzee, nilimsamehe baada ya Kugundua Mzee hakisei ila anashauriwa na akishauriwa anaelewa na mambo Mengine yanendelea, nilimsamehe Jamani na Nawaomba tumsamehe si tunaona Kazi inaendelea na Mengine Serikali inaendelea kuboresha.
Nb: Mzee Wetu Tumsamehe Jamani amekosa sana na alikosea kwelikweli. Watanzania tuna legacy ya kuendeleza Mazuri na ya Ovyo huwa tunayapotezea.
Ukisamehe nawe utasamehewa ! 🙏
 
Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...

Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.
Kunakiongozi gani nchii hii kaacha legacy kubwa kumshinda magufuli,
 
Kwa hiyo kikwete hana legacy yeyote ndani ya nchi hii?
Ebu jaribuni kupunguza chuki za kipumbavu hazitakusaidia kupunguza ugumu wako wa maisha.
legacy ya kikwete labda urais lkn tukesema kaacha arama gani kwenye urais ni hamna alichoacha,
 
Back
Top Bottom