Mzee Makamba aliwaza nini kusema ''Watu wazuri hawafi''?

Mzee Makamba aliwaza nini kusema ''Watu wazuri hawafi''?

Katika Philosophy MTU mzuri huwa hafariki

Mfano tazama katika familia yako utapata jibu

Pia tazama kuhusu Mandela na Nyerere.


Mzee Mkamba he was right to speak that ila watu wameshindwa kuelewa hili jambo .


Binadamu mzuri mwenye utu huwa anaondoka katika mwili wa nyama Ila yeye anaendelea kuishi.

"Watu wazuri hawafi. NDIYO MAANA KINANA BADO YUPO, JAKAYA BADO YUPO ANADUNDA".

Angalia jinsi alivyohitimisha hiyo kauli yake. Hapo ndipo shida ilianzia. Mzee alipotokwa kuongea vile mkuu.

Angeishia tu kwenye "wazuri hawafi" basi, nadhani isingeleta shida.

-Kaveli-
 
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?

Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Uchawa na kunipendekeza ndio issue
 
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?

Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Alijua mwanae anakuwa Rais.

Sasa sijui ni Urais wa Isani?
 
Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...

Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.
Alimtaja Kinana, Kinana kwa tuhuma zote zile, ni legacy ipi kwake hata akiondoka ataiacha?
 
Ya kwamba Kikwete miaka 10 ya uongozi wake hakuna chochote kizuri alicho ifanyia Tz?

Bila Kikwete kuanzisha mradi wa umeme vijijini wa REA bibi yako huko kijijini angekuwa anajua hata balbu ya umeme inafananaje?
Bila kikwete kuanzisha sera ya elimu kwa wote kwa kuanzisha shule za kata ww mtoto wa mlala hoi ungejua hata radha ya elimu inafananaje?
Hapa Tz kuna kiongozi aliye jenga km nyinyi za barabara kumzidi kikwete?

Huo umeme mlio kuwa mnamsifu kuwa haukatiki asilimia 65 ya vyanzo vyake si vilijengwa na huyo kikwete?

Kipindi cha kikwete ndo wakati ambao watz wengi masikini walijikwamua kwenye umasikini.
Hayo ni machache tu yapo mengi.

Mradi pekee wa maana ulio anzishwa na Magufuri ulikuwa ni hili bwawa la Nyerere tu mingine yote ilikuwa ni miradi ya hovyo na isiyo kuwa na manufaa yeyote kwa raia wa kawaida wa Tz zaidi ya manufaa ya kisiasa.
Yaani badala uchukue fedha uongeze mzunguko wa fedha mitaani ili urahisishe maisha ya masikini mitaani ,dabala yake una somba pesa kwa hao masikini na kwenda kununua ndege na kwenda Dodoma kujenga ikulu na majengo ya matrion ya fedha, alafu unajiita rais wa wanyonge.
Wewe ni mfuasi wa kauli hiyo ya kijinga?

Maana hata ulichoandika kinasadifu huo upumbavu wa maneno!
 
Alichapia tu, alichomaanisha kusema ni kuwa watu wenye roho mbaya na wala rushwa huwa wanaishi muda mrefu tofauti na wale ambao wanatetea masilahi ya wote.
 
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?

Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Anajiona yu hai, hivyo ni mwema, anajidanganya!
 
Ya kwamba Kikwete miaka 10 ya uongozi wake hakuna chochote kizuri alicho ifanyia Tz?

Bila Kikwete kuanzisha mradi wa umeme vijijini wa REA bibi yako huko kijijini angekuwa anajua hata balbu ya umeme inafananaje?
Bila kikwete kuanzisha sera ya elimu kwa wote kwa kuanzisha shule za kata ww mtoto wa mlala hoi ungejua hata radha ya elimu inafananaje?
Hapa Tz kuna kiongozi aliye jenga km nyinyi za barabara kumzidi kikwete?

Huo umeme mlio kuwa mnamsifu kuwa haukatiki asilimia 65 ya vyanzo vyake si vilijengwa na huyo kikwete?

Kipindi cha kikwete ndo wakati ambao watz wengi masikini walijikwamua kwenye umasikini.
Hayo ni machache tu yapo mengi.

Mradi pekee wa maana ulio anzishwa na Magufuri ulikuwa ni hili bwawa la Nyerere tu mingine yote ilikuwa ni miradi ya hovyo na isiyo kuwa na manufaa yeyote kwa raia wa kawaida wa Tz zaidi ya manufaa ya kisiasa.
Yaani badala uchukue fedha uongeze mzunguko wa fedha mitaani ili urahisishe maisha ya masikini mitaani ,dabala yake una somba pesa kwa hao masikini na kwenda kununua ndege na kwenda Dodoma kujenga ikulu na majengo ya matrion ya fedha, alafu unajiita rais wa wanyonge.
Povu??? tatizo lako shule ney ney., Shule ilikuchapa, akili kisoda.
 
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?

Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Acha kupotosha
Ingekuwa hivyo alimaanisha angetaja watu marehemu na kutoa mfano, ila yeye aliwataja watu fulani wazima na akasema si unaona hawajafa fulani na fulani.
 
Katika Philosophy MTU mzuri huwa hafariki

Mfano tazama katika familia yako utapata jibu

Pia tazama kuhusu Mandela na Nyerere.


Mzee Mkamba he was right to speak that ila watu wameshindwa kuelewa hili jambo .


Binadamu mzuri mwenye utu huwa anaondoka katika mwili wa nyama Ila yeye anaendelea kuishi.
Acha kupotosha
Ingekuwa hivyo alimaanisha angetaja watu marehemu na kutoa mfano, ila yeye aliwataja watu fulani wazima na akasema si unaona hawajafa fulani na fulani.
 
Back
Top Bottom