Mzee Makamba aliwaza nini kusema ''Watu wazuri hawafi''?

Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?

Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Alisahau kama "the good die younger"
 
Mm kizuri hakidumu always yule alikua na lake kwakua mwanae alitolewa kwenye mfumo ndio visa vilianzia hapo but in reality channels za hela za bure zilikabwa ndio maana walimmalizia
 
ulihitajika kuonyesha legacy pekee ya uyo aliekuwa kiongoz wako na sio compare na na mtu mwingine .Acha uzwazwa
 
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?

Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Yupo kwanza sasa hivi? Tuanzie hapo kwanza.
 
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?

Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Mzee Makamba aliongea kiroho zaidi. Watu wazuri wajapokufa (kimwili), wametoka mautini kuungia uzimani ambapo hudumu milele. Watu wabaya hufa (kimwili) na hufa tena kiroho. Nilimwelewa hivyo!
 
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?

Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Unakumbuka wenza wa Mahayati walisusa hafla ya kubonyeza kitufe kule Stiglers!!! Akaibuka mke wa chekibob mmoja akasema wajane wawe wanapewa mamilioni, hii statement ni janjajanja ya kuwapooza wajane maana walijua walichofanya hakikuwa na afya
 
Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...

Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.
Utetezi wa kijinga tu huu,angemaanisha hivyo asinge taja majina ya watu walio hai kuthibitisha Hilo la wazuri hawafi,huyu Mzee ni muhuni na anazeeka hivyo labda ajitokeze atubu kuwa alikosea lkn siyo kwa utetezi huu mwepesi.
 
Mzee Makamba aliongea kiroho zaidi. Watu wazuri wajapokufa (kimwili), wametoka mautini kuungia uzimani ambapo hudumu milele. Watu wabaya hufa (kimwili) na hufa tena kiroho. Nilimwelewa hivyo!
Alafu akatoa mfano wa watu walio hai. Wewe mwanafunzi mzuri unaelewa zaidi ya anachoongea mwalimu
 
Alitegemea litakua dongo kwa JPM pekee lakini akakumbana na wafiwa wengi wenye machungu ya kuondokewa na wapendwa wao. Sio kauli nzuri hata kidogo
 
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?

Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Mwache Mzee Makamba apumzike!
 
KAJIMA na KONOIKE ndiyo waliojenga Barabara ya Morogoro enzi za nyerere.
Jangwani na Selender 😄😄
Hii ni historia ya mlolongo wa ujenzi wa barabara mbili Dar es salaam.
New Salender waliojenga ni Kajima wakati wa Nyerere (1980).
Port access (Mandela), kuanzia bandarini mpaka Ubungo ilijengwa na Mowlem construction kipindi cha Nyerere (1982).
Pugu road (Nyerere) kuanzia Maktaba mpaka air port, ilijengwa na Mowlem construction wakati wa Nyerere (1982).
Morogoro, kuanzia Bibi Titi mpaka Mapipa walijenga Kajima wakati wa Mwinyi (1987).
Morogoro, kuanzia Mapipa mpaka Manzese, waliojenga ni Konoike wakati wa Mwinyi (1992).
 
Neno la watu kutokufa (uzima wa milele) hakulianzisha Makamba bali lina asili ya Mungu mwenyewe.
Onyo kwa wanadamu kutokufanya uovu bali kuenenda katika mapenzi ya Mungu kwa ujumla wake.
Watu wazuri ni wale wa Mungu na wabaya ni wa yule muovu.
Tafsiri nyingine ni hisia mapenzi ya kisiasa tu.
 
Hata mm n miongoni mwa watu wanaoamini kwamba jiwe amekufa kizembe kwasbb ya uovu wake uliokuwa umekithiri.
 
Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...

Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.
Sio kweli hakuna na maana hiyo kutokana na kauli aliyomaliza nayo, alisema mcheki kinana anadunda tu, halafu rais alikuja kusawazisha aliyopewa mic
 
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?

Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
"Na msidhanie wale waliokufa ktk njia ya Allah kwamba ni mfu, (la hasha) bali wapo hai mbele ya Mola wao wanaruzukiwa."


Kuna andiko linasomeka hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…