TUNAJUAAAAAAAAAAA.ANAYEPINGANA. NA UKWELI ANALAANANAHISI GWAJIMA ALIONGEA UKWELIII WATANZANIA WOTE WANAJUA
Katika yote yaliyoongelewa umeliona hilo peke yake!. Ujumbe wake umeuelewa vizuri lakini?.Makamba ndiye mzee JK anayejivunia,jamani!Mzee gani hana busara mpaka anapenyeza vimemo kwa magufuli ili Dada yake awe DC?Kama wazee ndio hao basi hawana maana
Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.
Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.
Vyovyote iwavyo siuoni mwenendo mzuri katika siku zijazo kwa Askofu huyu. Ni hatari sana pale unapojaribu kujikomba kwa mtu mmoja kwa kumponda mwingine bila ya kuifahamu kwa undani wanapokuwa wamekaa pamoja wawili hao wanaongea vipi na wanaaminiana kwa kiasi gani.
Kiongozi mstaafu siku zote hapungukiwi ushawishi kwa aliyepo pale Magogoni. Askofu alipaswa kupima uzito wa kauli yake ili akwepe kufananishwa na mtu aliyelaaniwa.
trueYeye mwenyewe Makamba anarudia kosa alilolifanya mch. Gwajima tofauti ni majukwaa
sidhani kama ngwajima atarudia asee kurumbana na wanasiasaAsubiri majibu yake kesho jumapili Gwajima hanaga muda wa kupoteza
Naamini siku ya kesho Askofu Gwajima ni lazima atamjibu Makamba hadi Makamba ataomba poo japo kimya,kama alimjibu Slaa hadi akakimbia,akamjibu Pengo naye kimya atashindwa kumjibu Makamba,kama mwenzie JK amemtaja kimafumbo kwa kumuogopa GWAJIMA,sembuse makamba,tusubiri COMEDY mpya dah ksh rahhhhhhhhhhha saaaaaaana,tumepata story ya wiki