Mzee Mengi na Jacqueline maisha ni motomoto,wakubwa wanafaidi

Huyu jamaa anatuzingua, kama tajiri anataka kuwa masikini mbona simple tu. Anauza kila kitu hela anazitupa anahamia Vingunguti.

Hapo sasa..!! Kuwa maskini ni rahisi sana kuliko kuwa tajiri, kwa nni wasiwe..??
 
Shopping in Dubai and Paris who can refuse that
 
Reactions: SDG
huyu mzeee nlikua namkubali biznes zake ila kija kuzaaa na k lyni ni kama mwanae kajiharibia hrshima halafu wakazaaa kabisa?? aibu hata hawaoni? kwan yule mama mengi halisi yuko wapi? kwel dunia ina meng
heshima yako ilikuwa inamuongezea ama kumpunguzia nini
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…