Mzee Mengi na Jacqueline maisha ni motomoto,wakubwa wanafaidi

kweli mapenzi hayana adabu huyo babu kajichukulia kijikuu chake alafu watu wana shangilia
Hayo siyo mapenzi. Ni utovu wa nidhamu. Mtu ukikosa hofu ya Mungu unaweza kufanya kila jambo kwa kuwa unakosa aibu. Hajiulizi watoto wake wanamwona vipi babu huyo kutoka hadharani na mtoto mdogo anayemwita mke. Nadhani ana wajukuu wakubwa kuliko hao watoto anaotamba nao.
 
huyu mzeee nlikua namkubali biznes zake ila kija kuzaaa na k lyni ni kama mwanae kajiharibia hrshima halafu wakazaaa kabisa?? aibu hata hawaoni? kwan yule mama mengi halisi yuko wapi? kwel dunia ina meng

Wabongo Bwana. Ulitaka uzae nae wewe??
 
True,Mfunze Mtoto njia impasayo nae hatoiacha hata Uzee wake!
 
Acha babu ale vinono vyake, namuonea wivu lakini ana deserve kila kitu...hapa ni kusubiri kidogo babu azeeke zaidi, lazima J atatafuta mashine ya kijana tu! Vijana kaeni mkao wa kula..Attencio...
 
Acha babu ale vinono vyake, namuonea wivu lakini ana deserve kila kitu...hapa ni kusubiri kidogo bau azeeke zaidi, lazima J atatafuta mashine ya kijana tu! Vijana kaeni mkao wa kula..Attencio...
Mkuu kama mi mapenzi ya rohoni anaweza kuvumilia
 
Happy for him????
He's happy for him yeah why not bcs we as mens are supposed to be happy when one of us has done something good!!.
Halafu samahani hivi jina lako linatamkwa 'nasma-pesa' ama 'nas-mapesa'?..πŸ™‚ πŸ™‚ πŸ™‚
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…