Mzee Mengi na Jacqueline maisha ni motomoto,wakubwa wanafaidi

Mzee Mengi na Jacqueline maisha ni motomoto,wakubwa wanafaidi

Namkumbuka katika wimbo wake nikipata wangu kalikua kimbaumbau sasa amekutana na mengi ameingeza mwili kidogo
Pesa pesa pesa kama huna watoto wazuri utawachungulia tu
 
mkewe alimsaliti,wacha afutwe machungu na mutoto
Haelewi huyo ujue ukikaa na mwanamke mda mrefu anafanya anachojisikia ila ntuyabaliwe kafuata pesa tu 6kwa 6 sijui kama mzee anajiweza
 
Haelewi huyo ujue ukikaa na mwanamke mda mrefu anafanya anachojisikia ila ntuyabaliwe kafuata pesa tu 6kwa 6 sijui kama mzee anajiweza

hahahahahahahahaha si mnasemaga mwanaume hazeeki maini AU?
 
[QUO TE="Denis denny, post: 15966208, member: 104402"]Sasa mtoa mada kulikuwa na haja kani kuwaingiza watu wa kusini kwenye hi mada inayomhusu Mengi[/QUOTE] Nimecheka sana! Wanamkera naona dada yake kaolewa nao
 
Sasa nyie mnaolalamika kuwa binti mdogo,mlitaka aoe mwanamke ambaye yuko menopause ama.Mfano ndio wewe sasa uko katika pisition ya mengi ukaambiwa uchague mwanamke ungechagua wa umri wako?.mapenzi hayana formula wala hakuna kipengele chochote cha dini ama sheria za nchi kinachokataza mtu kuwa na mpenzi mwenye umri mkubwa ama mdogo alimradi tu ameshabalehe na amezidi miaka 20
 
JE NA WEWE NI MMOJAWAPO KATI YA VITU VIZURI VINAVYOTUSUBIRIA?..SEMA MAMAA NIONGEZE KASI YA KUTAFUTA MZIGO....JUST FOR YOU BABY GIRLLL.

Wee Sijali,(who cares) Mimi ni dume naona(wewe na Barafu) mmechanganyikiwa kutokana na maoni yangu ya kupondea midume mibahili isiyojua kutunza mademu au wake zao,mkadhani mimi ni demu la hasha mimi sio demu,Nimesema hivyo kutokana na vijana wengi siku hizi wanapenda sana mteremko (na hii inathibitishwa na takwimu kwamba wabongo wengi 71% ambao wengi wao ni vijana hawapendi kufanyi kazi wao wanapenda kujirusha tu,so maana yangu ilikua kwamba ili upate vitu vizuri huna budi kugharamia sio unaona vimetunzwa wee ndo unapeleka pua yako,fanya kazi kijana acha kurukia mademu wa watu,mjini hapa wanaogharamia wakikujua watakufanya kitu mbaya.
 
Yupo anasali Azania Front ELCT kuna wakati alikuwa mzee wa kanisa. Yuko beautiful kinoma na mama wa Pamba Kali!
Mama wa kimachame,siyo gold deeger,bali anajua kuzitafuta faranga kwa mikono yake mwenyewe
 
Back
Top Bottom