Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

Kuna wanao/waliofaidika na mfuma huuu huu unaoupigia chapuo uondoke na kunaowaliotupwa nje ya mfumo huu huu. Bila ya kujali wewe upo upande ganitujifunze kufaidika na mfumo wowote uliopo kwani hakuna serikali yeyote itakayokufuata ulipo na kukupa kazi au mshahara bila ya kufanya kazi,ke, maana tokea tukiwa shule ya msing wengi wa aliokuwa wanajibidiisha walifanikiwa wengine wote waliobakia walisubiri bahati ambayo mara nyingi huwaangukia wachache tena wateule. Cha msingi tuchape kazi na tuache kulaumu kula jamba kwa mihemko ya kisiasa.
 

Jitendee haki basi kwa kuwachukia mafisadi wa CCM popote walipo kwa kuunga mkono
ACT wazalendo twende na mama ikulu
 
Jitendee haki basi kwa kuwachukia mafisadi wa CCM popote walipo kwa kuunga mkono
ACT wazalendo twende na mama ikulu


Huku unanadi ACT kule unanadi CCM!!! mna akili kweli??
 
[h=3]KAMPENI ZA MAGUFULI ZAITIKISA MPANDA[/h]

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Mpanda wakati akiwasili kwenye viwanja vya Azimio tayari kwa mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM ambapo alihutubia wananchi hao waliojazana kwa wingi.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa Mpanda mkoani Katavi na kuwaambia wananchi hao kuwa hatokuwa na msamaha kwa watu wasiotimiza majukumu yao.
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo pinda akimtambulisha Mgombea wa Urais wa CCM Dk. John Pombe magufuli kwa wakazi wa Katumba mkoani Katavi.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi Mishamo mkoani Katavi .


Wakazi wa Mishamo Katavi wakionyesha mabango ya kumchagua Magufuli kwenye mkutano wa kampeni.




Wananchi wa Mishamo wakimsikiliza Dk.John Pombe Magufuli kwenye mkutano wa kampeni za CCM mkoani Katavi.
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akihutubia wakazi wa Katumba kwenye mkutano wa kampeni wa kumnadi mgombea wa CCM kwa nafasi ya Urais Dk. John Pombe Magufuli.



Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Katumba mkoani Katavi.
Umati wa wakazi wa Katumba kwenye jimbo la Nsimbo wakimsikiliza Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli.


BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
 
It is very true.

Ni bora sote tunaoitwa wapumbavu na malofa tukatumia 'kichinjio' chetu (kitambulisho) cha kupigia kura, tarehe 25 Oktoba mwaka huu kuwathibitishia wale waliotuita sisi wapumbavu na malofa kuwa sisi siyo malofa bali matajiri wa maamuzi magumu na tutatumia utajiri wetu huo wa fikra kwa kuwang'oa madarakani wale wote waliotuita sisi kuwa ni wapumbavu na malofa.
 
Nimefuatilia sana kuna watu kadhaa ambao mimi nimewatafasri kuwa ni wachovu kisiasa, wanadai eti Mkapa alitukana na baadhi yao wameenda Mbagala rangi 3 kualika mkutano wa Jumamosi. Je watu hawa wamesahau kuwa Sugu aliwahi kumwita Waziri Mkuu Pinda Mpumbavu hadi kesi ikaenda mahakamani na Jaji akatoa uamzi kuwa pumbavu siyo tusi, na wao wakashangilia usiku na mchana. Lakini leo Mh. Mkapa kusema neno lile lile imekua nongwa. " chongo kwa mnywezi kwa Mbowe kengeza".
 
Hiyo lugha yake ya matusi ndiyo aliyoitumia Kule Arumeru mashariki na ndio maana CCM wakaambulia 0.
 
Tofauti ya sugu na Pinda ni kwamba..SUGU alisema sifa ya kweli ya Pinda na hivyo si tusi...Mkapa kawaita watu anaowaomba Kura ili awaondoe ktk Ulofa kawacheka kwa kuwa malofa....Halafu MKAPA KAELEZA SABABU YA KUWAITA WAPUMBAVU KISHA MWENYEWE AKARUDI NA KUTHIBITISHA SI WAPUMBAVU...kasema nchi imeshakombelewa na CCM ,hapo hapo akamalizia kwamba CCM bado inakimbizana kukomboa watz kutoka k tk Umasiki, ujiinga, maradhi....kwa vipimo na kauli ya Mkapa ni kwamba kawaita wasio wapumbavu kuwa wapumbavu na hivyo katukana.
 
Wewe ukimuita baba yako pumbavu ni kosa?if you know that you have answer.

Swissme
 
Those fools have short memory.
 
Hajakosea isipokuwa, WATU, kisiasa zaidi, wanamnukuu nusunusu ili wanapofanya usanii wao mitaani wawe na ka'wimbo' ka kusindikizia salamu zao!
 
Naona malofa wa UKAWA mmeshikwa pabaya
 
Hajakosea isipokuwa, WATU, kisiasa zaidi, wanamnukuu nusunusu ili wanapofanya usanii wao mitaani wawe na ka'wimbo' ka kusindikizia salamu zao!
sidhani km hata mama mkapa atakubaliana na wewe km kamwona na kumsikia tena mumewe kabla na baada ya reaaction ya watu....Mkapa hata tukimhurumia tutamwita very IRRESPONSIBLE nadhani bado itakuwa mbaya sana kwake.
 
nyerere aliwahi kusema siwezi kuwapa mbwa nchi na tukasema ni tusi
 
Ukawa ni Malofa na Wapumbavu. An idiot will not see that.
Nani kakuambia ------ hawaoni?Sasa umekuwa mbea kuliko umbea wenyewe.Vipofu na walio na macho ila vit husika vimeficha nao ni ------.
 
Hivi mkiitwa wapumbafu na malofa mtakataa? Mnatumia mda mwingi kujadili maneno mawili ya Nkapa badala ya kujadili hoja za Magufuli, au mmeona kuongea point tupu mmekosa cha kumkosoa?Punguzeni ULOFA basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…