Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

nyerere aliwahi kusema siwezi kuwapa mbwa nchi na tukasema ni tusi
Kweli laana na ujinga ulianza zamani ndio maana Nyerere akaweka km mojawapo ya maadui watatu.Kwa akili ya Nyerere i wazi alijua alichosema,na maana ya mstari km huo ktk Biblia.Alijua kabisa kwamba TZ hakuna uwezekano wala mawazo ya kuwapa mbwa uongozi..kwa hiyo happa Nyerere alimaanisha alichosema kwa binadamu na watz ambao hakuwataka.
 
Wapi wewe na kakudanganya. Ya mkapa na ya ccm pale Jangwani yameisha kuwa historia. Kinachojadliwa sasa ni ziara ya Lowassa kule Congo la Mboto, Chanika na Mbagala.
 
Haha! Na CCM safari hii imepeleka waropokaji mtajadili mtu mwingine na matusi yake huku Magufuli sailing through like the golden boy. So far CCM dictates the pace.
 
Lofa na mpumbavu kwangu ni yule atumiae nafasi/mamlaka aliyopewa katika utumishi wa uma kujimilikisha rasilimali za watanzania.
 
Hivi mkiitwa wapumbafu na malofa mtakataa? Mnatumia mda mwingi kujadili maneno mawili ya Nkapa badala ya kujadili hoja za Magufuli, au mmeona kuongea point tupu mmekosa cha kumkosoa?Punguzeni ULOFA basi
Mkapa mjanja sana kawapoteza maboya kabisa! Hadi kampeni zinaisha watakuwa wanajadili maneno mawili tu yaani Pumbavu na Lofa huku Magufuli akichanja mbuga.
 
Dar rapid transit haioni EL? barabara zote kuu za jiji la dsm zitawekewa lane ya basi za mwendo kasi.
 
Wapi wewe na kakudanganya. Ya mkapa na ya ccm pale Jangwani yameisha kuwa historia. Kinachojadliwa sasa ni ziara ya Lowassa kule Congo la Mboto, Chanika na Mbagala.
Watanzania Hivi tumerogwa na nani? Yaani Ziara ya Lowassa Imeleta nini kwa wakazi wa Gongolamboto kama sio cheap politics? Sasa ndio amepeleka nini kwao kama sio usanii??
 
Watanzania Hivi tumerogwa na nani? Yaani Ziara ya Lowassa Imeleta nini kwa wakazi wa Gongolamboto kama sio cheap politics? Sasa ndio amepeleka nini kwao kama sio usanii??
Du! EL kweli kachemka!!
Hajui hata shida zinazowakabili watanzania hadi leo..?
Research gani unafanyia kwenye daladala ,unakula kiyoyozi??
Wananchi wengi ni wakilima.,
Wenye dhamira ya dhati walibeba matofali na wananchi.;
Waliingia majarubani kulima juani.;
Walichimba visima na wananchi ili kujua adha wazipatazo wananchi (SAFARI ZA KINANA KILA JIMBO).
Leo hii mtu anakula kiyoyozi ,watu wenye akili nyingi wanafurahi eti "kapanda daladala tunazopanda sisi"
Hahahaaa kweli "Ipo shida"!!
Ama kweli Mkapa alikuwa 100% sahihi!!
 
yaani sisi malofa wa ukawa

sasa hivi tunaanza kujadili hii picha ya magufuli jinsi alivyozungukwa na kanda ya ....

30.jpg
 
Ni dhahiri sasa kwamba ccm imejaa watu walio na uwezo mdogo wa kufikiri kama panya. Huwezi kumlinganisha sugu na mkapa.

Mkapa alikua raisi wa Tanzania,sugu ni mbunge wa mbeya mjini,akipoteza ubunge na heshima yake inaishia hapo, mkapa anaendelea kuitwa rais mstaafu hadi maisha yake yote.

Wafuasi wa ccm kichwani mmebeba mavi au akili, jambo dogo tu hilo hamulioni mtawezaje kuelewa kwamba mkapa alifanya utovu wa nidhamu wa kiwango cha juu kabisa.
 
Nilichogundua jana CCM wana kazi kubwa ya kufanya. Kwanza vyombo vya habari na watanzania hawakuwa na muda wa kujadali sera za CCM na ilani yake zilizotangazwa na Magufuli. Hii ni dhahiri kwamba wamechokwa na wananchi wameishagundua kwamba ni watu walewale na sera zilezile ivyo hawana muda wa kupoteza kuzijadili. Pili Mkapa aliwabeba sana watanzania hasa pale alipotumia lugha kali ya kutukana 'wapumbafu'. Alitoa nafasi nyingine ya kujadiliwa yeye na wala si mgombea wake na sera za chama chake. Tatu Lowassa ndo alimalizia kabisa safari yao baada ya kuibuka na safari ambayo nayo ilivuta tention ya watu kwa siku nzima na hivyo watu kujikuta wanaendelea kumdiscuss yeye. Nani anakumbuka Magufuri aliongelea nini hadi watu wakavutika na sasa wanaendelea kumjadili, zaidi sana naona kajitengenezea maswali zaidi. Kwa maoni yangu kwa kete ya jana ikisaidiwa na maneno ya Mkapa wapinzani wamecheza vizuri kwa kuhakikisha Pombe hasikiki.
 
Nilichogundua jana CCM wana kazi kubwa ya kufanya. Kwanza vyombo vya habari na watanzania hawakuwa na muda wa kujadali sera za CCM na ilani yake zilizotangazwa na Magufuli. Hii ni dhahiri kwamba wamechokwa na wananchi wameishagundua kwamba ni watu walewale na sera zilezile ivyo hawana muda wa kupoteza kuzijadili. Pili Mkapa aliwabeba sana watanzania hasa pale alipotumia lugha kali ya kutukana 'wapumbafu'. Alitoa nafasi nyingine ya kujadiliwa yeye na wala si mgombea wake na sera za chama chake. Tatu Lowassa ndo alimalizia kabisa safari yao baada ya kuibuka na safari ambayo nayo ilivuta tention ya watu kwa siku nzima na hivyo watu kujikuta wanaendelea kumdiscuss yeye. Nani anakumbuka Magufuri aliongelea nini hadi watu wakavutika na sasa wanaendelea kumjadili, zaidi sana naona kajitengenezea maswali zaidi. Kwa maoni yangu kwa kete ya jana ikisaidiwa na maneno ya Mkapa wapinzani wamecheza vizuri kwa kuhakikisha Pombe hasikiki.

Magufuli alikuwa kazingirwa na kanda maalumu ...

30.jpg
 
Wapi wewe na kakudanganya. Ya mkapa na ya ccm pale Jangwani yameisha kuwa historia. Kinachojadliwa sasa ni ziara ya Lowassa kule Congo la Mboto, Chanika na Mbagala.

Nasikia alienda kutafuta wasanii na ndo ulikuwa ufunguzi wake maana hali ni tete ya kifedha ukawa, Mbowe keshalamba mshiko wake na Mzee siyo liquid tena madeni mengi yanamwamdama. Inamaana ilikuwa guvu ya soda.


Mzee Mtei yupo mbioni kuwasiliana na Lowassa, Lowassa hapatikani kwa muda mrefu kwenye simu, akishalambwa sindano yake inabidi apumzike si chini ya masaa mawili, maana anayoyoma kama teja akishalambwa sindano na kwa mujibu wa habari nilizosoma JF sindano kwake ni kutwa mara 4. ndo maana anatembea kama kuku aliyeugua kideli

Msione kampeni hazijaanza mkafikiri ni taratibu za kampeni, ukata na kizungumkuti cha fedha ndicho kinachofanya hayo yaendelee.

Mwaka wa uchaguzi huu tutasikia na kuona mengi sana.
 
Nimefuatilia sana kuna watu kadhaa ambao mimi nimewatafasri kuwa ni wachovu kisiasa, wanadai eti Mkapa alitukana na baadhi yao wameenda Mbagala rangi 3 kualika mkutano wa Jumamosi. Je watu hawa wamesahau kuwa Sugu aliwahi kumwita Waziri Mkuu Pinda Mpumbavu hadi kesi ikaenda mahakamani na Jaji akatoa uamzi kuwa pumbavu siyo tusi, na wao wakashangilia usiku na mchana. Lakini leo Mh. Mkapa kusema neno lile lile imekua nongwa. " chongo kwa mnywezi kwa Mbowe kengeza".
Wanasiasa uchwara ndio wanaosema kuwa Mkapa alitukana watu,lakini mtu makini anaelewa 2azi alisema nini
 
It is very true.

Ni bora sote tunaoitwa wapumbavu na malofa tukatumia 'kichinjio' chetu (kitambulisho) cha kupigia kura, tarehe 25 Oktoba mwaka huu kuwathibitishia wale waliotuita sisi wapumbavu na malofa kuwa sisi siyo malofa bali matajiri wa maamuzi magumu na tutatumia utajiri wetu huo wa fikra kwa kuwang'oa madarakani wale wote waliotuita sisi kuwa ni wapumbavu na malofa.

Kweli Mkuu, tukutane Oktoba 25.
 
Kuna wanao/waliofaidika na mfuma huuu huu unaoupigia chapuo uondoke na kunaowaliotupwa nje ya mfumo huu huu. Bila ya kujali wewe upo upande ganitujifunze kufaidika na mfumo wowote uliopo kwani hakuna serikali yeyote itakayokufuata ulipo na kukupa kazi au mshahara bila ya kufanya kazi,ke, maana tokea tukiwa shule ya msing wengi wa aliokuwa wanajibidiisha walifanikiwa wengine wote waliobakia walisubiri bahati ambayo mara nyingi huwaangukia wachache tena wateule. Cha msingi tuchape kazi na tuache kulaumu kula jamba kwa mihemko ya kisiasa.
Mfano mdogo tu. Mtoto wa lofa anafaulu mtihani kuendelea na masomo lakini anaechaguliwa ni mtoto wa mteule. Afanyeje? Kazini ni hivyo hivyo.
 
Nasikia alienda kutafuta wasanii na ndo ulikuwa ufunguzi wake maana hali ni tete ya kifedha ukawa, Mbowe keshalamba mshiko wake na Mzee siyo liquid tena madeni mengi yanamwamdama. Inamaana ilikuwa guvu ya soda.


Mzee Mtei yupo mbioni kuwasiliana na Lowassa, Lowassa hapatikani kwa muda mrefu kwenye simu, akishalambwa sindano yake inabidi apumzike si chini ya masaa mawili, maana anayoyoma kama teja akishalambwa sindano na kwa mujibu wa habari nilizosoma JF sindano kwake ni kutwa mara 4. ndo maana anatembea kama kuku aliyeugua kideli

Msione kampeni hazijaanza mkafikiri ni taratibu za kampeni, ukata na kizungumkuti cha fedha ndicho kinachofanya hayo yaendelee.

Mwaka wa uchaguzi huu tutasikia na kuona mengi sana.

Makufuli kazingirwa na kanda maalumu ... unajua hii ni kanda gani?

30.jpg
 
Nilichogundua jana CCM wana kazi kubwa ya kufanya. Kwanza vyombo vya habari na watanzania hawakuwa na muda wa kujadali sera za CCM na ilani yake zilizotangazwa na Magufuli. Hii ni dhahiri kwamba wamechokwa na wananchi wameishagundua kwamba ni watu walewale na sera zilezile ivyo hawana muda wa kupoteza kuzijadili. Pili Mkapa aliwabeba sana watanzania hasa pale alipotumia lugha kali ya kutukana 'wapumbafu'. Alitoa nafasi nyingine ya kujadiliwa yeye na wala si mgombea wake na sera za chama chake. Tatu Lowassa ndo alimalizia kabisa safari yao baada ya kuibuka na safari ambayo nayo ilivuta tention ya watu kwa siku nzima na hivyo watu kujikuta wanaendelea kumdiscuss yeye. Nani anakumbuka Magufuri aliongelea nini hadi watu wakavutika na sasa wanaendelea kumjadili, zaidi sana naona kajitengenezea maswali zaidi. Kwa maoni yangu kwa kete ya jana ikisaidiwa na maneno ya Mkapa wapinzani wamecheza vizuri kwa kuhakikisha Pombe hasikiki.

Mwenye hekima amekuelewa.
 
Back
Top Bottom