Nasikia alienda kutafuta wasanii na ndo ulikuwa ufunguzi wake maana hali ni tete ya kifedha ukawa, Mbowe keshalamba mshiko wake na Mzee siyo liquid tena madeni mengi yanamwamdama. Inamaana ilikuwa guvu ya soda.
Mzee Mtei yupo mbioni kuwasiliana na Lowassa, Lowassa hapatikani kwa muda mrefu kwenye simu, akishalambwa sindano yake inabidi apumzike si chini ya masaa mawili, maana anayoyoma kama teja akishalambwa sindano na kwa mujibu wa habari nilizosoma JF sindano kwake ni kutwa mara 4. ndo maana anatembea kama kuku aliyeugua kideli
Msione kampeni hazijaanza mkafikiri ni taratibu za kampeni, ukata na kizungumkuti cha fedha ndicho kinachofanya hayo yaendelee.
Mwaka wa uchaguzi huu tutasikia na kuona mengi sana.