Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

CHADEMA na UKAWA mpaka sasa wapo gizani. Mbaya zaidi hawajui kuwa wanatawaliwa.


1. Mgombea Urais ni mkoloni ambaye ametoka CCM


2. Mgombea Mwenza ni mkoloni kutoka CUF.


3. Hawana ofisi wamekuwa wapangaji kwa muda mrefu


4. Hawana vyanzo vya mapato wanategemea ufadhili wa wana CCM


5. Hawana uwezo wa kusimamisha wagombea kwa kila jimbo


6. Hawana uwezo wa kuwapata wanachama wapya isipokuwa makapi ya CCM

7. CHADEMA wanahubiri siasa za matukio.

8. Mgombea Urais wao hajui matatizo ya Watanzania. Analazimika kupanda daladala ili kuuliza matatizo ya madereva na makondakta.

Kweli hawa jamaa wapo gizani. Wanahitaji kujikomboa
 
sugu naye alishawahi kuyasema haya maneno kwa hiyo mkapa amepigia tu mstari
 
Kwa tafsiri ya mkapa ni kwamba yeyote asiyekubaliana na mawazo ya kiccm ni mpumbavu na Lofa, kwa kweli kama demokrasia ya Tz ndiyo hii inasikitisha sana.
 

Hapo kwenye Red nakubaliana nawe mkuu..yeye na Makongoro walikuwa wapo maji
 
Kuna msemo unasema 'Do not underestimate the power of stupid people in large groups', Ninaimani Mkapa aliyakumbuka haya kabla ya kuita watu ni wapumbavu na malofa!
Ndio Mkapa kawatukana
tena ni Sumaye ambaye Mkapa katika Utawala wake kamuachia miaka 10 yote
  • Sumaye alilivunja Baraza la Madiwani la Jiji la Dsm na akaipa Tume ya Keenja wakati Jiji lote lilishika na kina Masumbuko Lamwai na kina MremaMkapa alikuwa ----- kunyamaza
  • Sumaye aliwapiga marufuku wafanyabiashara wote wa Tanzania kuishabikia NCCR ukionekana tu Leseni au TRA hao katika bisahara zako.Mkapa alikuwa ----- kunyamaza
  • Sumaye alijiamulia kila kiti licha ya kukopa NSSF mamilioni Mkapa alikuwa ----- kunyamaza
  • Sumaye alianziahs mashamba makubwa na kuwaweka Ndugu zake waMbulu na Mkapa alikuwa ----- kunyamaza

hippocratessocrates dogo kapige kura yako unakojua lakini Siasa huijui na hujui Sumaye alikuwa Waziri Mkuu wakati wa nani na kwa nini hana shukrani
naona weweni wa small Mind badala ya (Simple Mind)
 
asante kwa ufafanuzi. nmkapa hoyeeeeeeeee

Ukumbuke kwamba hata wewe alikutukana ila hujua tu.

Tuliyemweka madarakani kwa miaka kumi alipotoka alitoka na utajiri na ukwasi usiosemeka.Bado na kuuza NBC na mashirika ya umma kwa bei poa na mengi yakiwa yanafanya biashara nzuri tuliendelea kumpigia makofi mapka kesho.Kwanini asituite Maolfa na wapumbavu.

Huyu aligawa Madini yetu kwa wazungu/wakoloni kwa jina la wawekezaji eti akatudanganyia na asilimi 3 na wakoloni asilimia 97,na hapo kuna 20 za kwake leo madini yamezinufaisha nchi za wazungu na kutuacha Tanzania tukiwa kwenye lindi la Umasikini,ufukara na bado alivyowekwa JK kwa shangwe tukaingia kingi tukamchagua,leo uchumi wetu nafuu enzi za mkoloni,kaka yangu kwanini wewe na mimi tusitwe Wapumbavu na Malofa.

JK anaondoka IKULU akiwa na UTAJIRI na UKWASI usiosemeka,tumeona wizi wa mali za umma na uvunaji wa meno ya tembo,madawa ya kulevya,rushwa na ufisadi ukiwa kwenye kiwngo cha juu,bado anayekuja anatupa promise alizotupa miaka 20 iliyopita MKAPA,miaka 10 iliyopita JK na leo tunapewa ahadi zile zile!!!!!!!!!!

Ndugu yangu kwanini tusiitwe wapumbavu na malofa.Rafiki haijalishi uko chama gani sisi watanznaia ndiyo tuliotukanwa na si vyama vya upinzani tu,chukua acha.Leo aliyetukana akiumwa hata mafuao anaenda APPOLLO india wewe ukiumwa unaenda wapi??Je dawa zipo,hospitali zetu je.Watoto wao leo wako wapi??

Usijeukadhani kwenye TUSI lile wewe hauko.Upo vizuri sana.Maana kuikomboa Tanzania siyo kwenye uhuru tu hata kifikra ,kiuchumi,kielimu,na afya,na ndicho baadaye na yeye alisema...Je wewe na mimi sote si ndiyo wale wale wapumbavu na malofa????:hurt::hurt:
 

hakika we lofa na pumbavu kweli sasa tunakuambia hicho kichinjio chako kitunze, ila jua raisi ni magufuli
 

Mimi na familia yangu yote tunaitwa wapumbavu na malofa,hiki kiburi sijui kinatoka wapi
 

CCM imewatukana watanzania
 
Last edited by a moderator:
QUOTE=Domy;13749200]Mpumbavu na Lofa ni yule aliyeuza Benki kwa bei ya kutupa![/QUOTE]

Paul Alex huyo ndiye mbabe Mkapa aliyeweza kukaa na Sumaye kama Waziri Mkuu kwa miaka 10
na enzi hizo Wapinzani (Mrema na NCCR) bila ya kufurukuta licha ya MEDIA nayo kutukanwa kubanwa
leo mnashangaa matusi
HIVI ANGERUDI sijui UKAWA wangeenda wapi?
 

Attachments

  • JK.jpeg
    8.5 KB · Views: 401
Hongera mzee Mkapa, wapumbavu na malofa sio tu wale waliohama CCM kwa uroho wa madaraka, leo nimeamini hata humu JamiiForums wapumbavu na malofa wapo wengi!
 
MODS NAOMBA HURUMA YENU HUU UZI UDUMU KIDOGO


1Wakorinto1:27-28 " bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu;"tena mungu alivichagua vitu vinyonge vya dunia na vilivyodharauliwa;

Kumbe Mungu ametuchagua tuliodharauliwa ili tuwaiaibishe wenye nguvu! CCM mtaaibika mwaka huu kuanzia kwenye usemi wenu hadi matendo yenu!
 
Watanzania Hivi tumerogwa na nani? Yaani Ziara ya Lowassa Imeleta nini kwa wakazi wa Gongolamboto kama sio cheap politics? Sasa ndio amepeleka nini kwao kama sio usanii??

Alitaka awe karibu zaidi na Malofa wa pande hizo.
 
Vichekesho Kweli,eti Chama Cha Watu Wa Kanda Ya Kaskazin Ndo Kishke Dora?Bora Umpe Nchi Msukuma Kuliko Mtu Wa Kanda Ya Kaskazn Maana Ukimpa Utakuta Kina Mlay,mushi Ndo Watatusumbua Sana,kama Sasa Wanavyokuwa Wasumbufu Kwenye Maofs,kwa Tunaoujua Hatuhangaiki.Mbinu Za Watu Wa Kaskazn Kushka Dora Tumeshaziona,
 

Mungu Si Dhalim Kama Wewe,usitake Kubdirisha Neno La Mungu,na Wala Usitake Kumsafisha Mtu Kwa Ku2mia Neno La Mungu.Be Careful Unapokuwa Ukitamka Neno La Muumba Wako.
 
1Wakorinto1:27-28 " bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu;"tena mungu alivichagua vitu vinyonge vya dunia na vilivyodharauliwa;: Kwahiyo Mungu amechaguwa UKAWA sisi Wapumbavu na malofa ili tuwaaaibishe CCM wenye hekima na nguvu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…