mkapa hakusema watanzania ni wapumbavu
alisema chama kinachojifanya ni cha ukombozi
leo baada ya 50yrs of independence ni
wapumbavu na malofa. Shida wewe na UKAWA
wote mmeona hamna hoja za kuzungumza sasa
hivi baada ya kila vipaumbele kuguswa not Dr
magufuli mnaanza kutafuta huruma ya
watanzania na kuanza kutoa sababu za
kushindwa sasa. Poleni sana uchaguzi huu
mmeshapoteza ccm watashinda mchana kweupe
uliona wapi chama hakina watu labda nikueleze chama ni watu
wanaposema ukombozi hawamaanishi ukombozi toka kwa mzungu bali ni ukombozi wa
UMASKINI
MARADHI
UJINGA
UFISADI
mambo ambayo tangu tupate uhuru yanatuksndamiza as if hatuna uongozi
hii ndo sababu huyo ndg kalela hizo PICHA ili wasioelewa waelewe
sisi ni MALOFA na ni WAPUMBAVU....ndio maana mgodi wetu wa makaa ya mawe uliporwa na kigogo tukakaa kimya. wapi wapwa zangu Elli, lusungo na BAK?
CC: FaizaFoxy, MwanaDiwani, MUSSA ALLAN (MSALANI), T 2015 CCM East African Eagle, Ritz, mjepo, laki si pesa., Agogwe, gsu, Simiyu Yetu, thatha, TataMadiba, CHAMVIGA, funza, Chabruma, ifweero, KATIBA MPYA, Lizaboni, et al.
Kwann hajaleta picha za mambo mazuri yaliyotendeka hata kama ni machache. Na ni familia hyo tu. Nilisha shauli kama hatuna sababu ya kuleta mijadala bora humu jf ludin fb.
mkapa hakusema watanzania ni wapumbavu
alisema chama kinachojifanya ni cha ukombozi
leo baada ya 50yrs of independence ni
wapumbavu na malofa. Shida wewe na UKAWA
wote mmeona hamna hoja za kuzungumza sasa
hivi baada ya kila vipaumbele kuguswa not Dr
magufuli mnaanza kutafuta huruma ya
watanzania na kuanza kutoa sababu za
kushindwa sasa. Poleni sana uchaguzi huu
mmeshapoteza ccm watashinda mchana kweupe
sisi ni MALOFA na ni WAPUMBAVU....ndio maana mgodi wetu wa makaa ya mawe uliporwa na kigogo tukakaa kimya. wapi wapwa zangu Elli, lusungo na BAK?
CC: FaizaFoxy, MwanaDiwani, MUSSA ALLAN (MSALANI), T 2015 CCM East African Eagle, Ritz, mjepo, laki si pesa., Agogwe, gsu, Simiyu Yetu, thatha, TataMadiba, CHAMVIGA, funza, Chabruma, ifweero, KATIBA MPYA, Lizaboni, et al.
nchi hii ilishakombolewa na wazee wetu wakiongozwa na mw. nyerere miaka dahali iliopita sasa anakuja mtu anasema anataka kutukomboa ni ukosefu wa akili tena narudia mpumbavu mkubwa
Naomba ni Quote part ya speech ya Major C.A Bach iliyotolewa kwa maofficer wanafunzi katika kambi ya pili ya mafunzo Fort Sheridan wakati wa vita kuu ya kwanza ya dunia,kwaajili tu ya viongozi wa CCM.
"Moral force is the third element in gaining Moral Ascendency.To exert moral force you must live clean; you must have sufficient brain power to see the right and the will to do the right.Be an example to your men! An officer can be a power for good or a power for evil.Don't preach to them~ that will be worse than useless.Live the kind of life you would have them lead, and you will be suprised to see the number that will imitate you.
A loud~mouthed, profane captain who is careless of his personal appearance will have a loud~mouthed,profane ,dirty company .Remember what I tell you .Your company will be the reflection of yourself!"