Mzee mmoja alikuwa haudhurii misiba leo kafariki, kinachoendelea hapa naona ni msiba wa familia tu

Sahihi
 
Mleta mada namfananisha na wapumbavu fulani wanasemaga usiposhiriki jumuiya, kanisani na kutoa zaka hatuji kukuzika 🤣🤣🤣

Yani wanajiona wajanja sana kumbe kumbe wangejua ninavyowadharau wasingeamini

Hata mimi huwa siwaelewi kabisa.
Wako mwilini wakati wote wakati Mungu ni roho.
Wanatumia hiyo kama fimbo Eti kutishia watu.
Imagine 🤔🤔🤔
niliwahi kushauri hizo jumuia zifanyike makanisani,
Kwanini muwe mnaenda kwenye nyumba za watu ?
Hamuoni ni risks kubwa ?
Kuna watu wanavamia na kuibiwa sababu wezi walikuja jumuia wakachora ramami za vita, wakaja kuwafanyia ujambazi.
Makongo hapo.
Yani bongo kuna mambo ya kijima sana.
Kwanini mtake kwenda kwenye nyumba za Watu.
Life is about privacy.
Kwanza wengine wachawi wakubwa .
Wengine umbea tu na kutaka kuwathaminisha.
Wengi Hawana Mungu moyoni.
 
Ndio maana kuna umuhimu wa kuwepo na yale makampuni ya mazishi hata huku Tanzania.

Jamaa wanahandle kila kitu hadi mourners (watakaolia msibani)
Makampuni yapo ingawa sio kwa wingi. Tatizo la waafrika ni ngumu sana kufata huo utaratibu, tunapenda kujikusanya na kusaidiana mwisho wa siku hakuna lolote michangp hakuna na majungu hayakosekani
 
Kujamiiana ni kitu cha muhimu
 
Kuhudhuria MISIBA ni Upumbavu.
 
Makampuni yapo ingawa sio kwa wingi. Tatizo la waafrika ni ngumu sana kufata huo utaratibu, tunapenda kujikusanya na kusaidiana mwisho wa siku hakuna lolote michangp hakuna na majungu hayakosekani
Wazee wa 'vishughuli'
 
Halafu umajuaje kuwa haendagi kwenye misiba ya wengine ?
Je mnakuwaga 24/7 kwenye kila msiba kutambua wanaokuja ??
What if mmekuwa mkipishana labda yeye akiwepo wewe unakuwa haupo ??
Mbona waswahili mmezidi kwa nongwa jamani ?!
Hebu tupendane jamani tuache kuhusudiana na kuumana.
 
Bado mpo na uzamani ukishakufa what matters is kufukiwa hayo mengine sijui nani alikuja msibani ni nonsense tu
 
g
Inafikirisha sana mkuu, huwa tunasahau wema wa mtu upesi sana.
Kifo tuliadhibiwa kisawasawa
 
Ndio ujinga pia wa wengi kwenye ma-group ya Whasap ya michango Sijui rambirambi na kupangiana kiwango.
Kwani maana ya rambirambi ni nini ?
Je ni Kwanini sasa ulazimishe kiwango Eti kisipungue kiasi fulani ??!
Don’t follow the crowd follow the right way
 
Ila ni sawa tu maana wasioenda wamewapunguzia gharama wafiwa. Kama familia inajiweza kiasi hapo ni kununua tu jeneza, wakodi watu wachache wa kusaidia kuzika makaburini, siku imeisha.
Huwa tunacomplicate sana misiba
Uko sahihi sana mkuu
 
Afrika ni ujinga ni kama kikojozi na kopp la mkojo,
Bakhera au Modewji hauudhirii mazishi lakini leo hii akifa watu watajazana zaidi ya kariakoo.
 
Ila ni sawa tu maana wasioenda wamewapunguzia gharama wafiwa. Kama familia inajiweza kiasi hapo ni kununua tu jeneza, wakodi watu wachache wa kusaidia kuzika makaburini, siku imeisha.
Huwa tunacomplicate sana misiba
Ndugu hayajakukuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…