yutu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 1,668
- 1,017
Misiba ya kibongo unafiki Sana
One time nimefiwa na mtu wangu wa karibu akaja mwanangu mmoja wa mtaani kama saa tatu hivi usiku akanivuta pembeni akaniambia ameshindwa kuhudhuria Kwa wakati alikuwa kwenye mishemishe za utafutaji nikamwambie poa baada ya hapo akatoa autport eti nimchotee msosi dah! Nilichokaa Sana ukiongeza na majonzi ya kuondokewa na mpendwa wangu kiukweli niliumia Sana lakini ndo hivo kufa kufaana
One time nimefiwa na mtu wangu wa karibu akaja mwanangu mmoja wa mtaani kama saa tatu hivi usiku akanivuta pembeni akaniambia ameshindwa kuhudhuria Kwa wakati alikuwa kwenye mishemishe za utafutaji nikamwambie poa baada ya hapo akatoa autport eti nimchotee msosi dah! Nilichokaa Sana ukiongeza na majonzi ya kuondokewa na mpendwa wangu kiukweli niliumia Sana lakini ndo hivo kufa kufaana