Mzee mmoja alikuwa haudhurii misiba leo kafariki, kinachoendelea hapa naona ni msiba wa familia tu

Mzee mmoja alikuwa haudhurii misiba leo kafariki, kinachoendelea hapa naona ni msiba wa familia tu

Mzee mmoja amefariki na M/Mungu alimjaalia kweli enzi za uhai wake mali kweli kweli za kutosha, katika kujumuika na nzengo Mzee hakuwa na historia ya kuhudhuria misiba ya wengine na hata kushiriki tu hakuwa anafanya hivyo enzi za uhai wake kabisa na hakuwa anajali.

Sasa ya Mungu mengi bwana leo yeye ndio amefariki toka Jumatatu. Nyumbani kwake pamewekwa maturubai na ratiba ya mazishi ila hakuna watu.

Bahati mbaya hata watoto wake mke pia walimuiga tabia. Wapo wenyewe na ndugu majirani hakuna hata mmoja na watu hawana habari napo ni kama vile hakuna kitu vinaendelea pale kila mtu anaendelea na mambo yake.

Hii stori inakuja kufanana kidogo sana na hii yangu ambayo niliishugudia.

Hii imenikumbusha mwaka 2019 nilihudhuria msiba wa babu huko Musoma kijijini cha Nyabange Wilaya ya Butiama. Nzengo walikuja kama kawaida wakashughulika kila kitu wakaandaa, lilipofika suala la kula kile chakula wakaitana baadae nikaona kila mtu anaenda kwake, kila kitu walicho andaa walikiacha kama kilivyo tukabakia ndugu tu.

Wakasema, mjomba ambae ndio msiba ulikuwa umepangwa hakuwa anakula kwenye misiba na yeye alikuwa anachangia tu. Na mke wake alikuwa anakuja kupika na kuondoka kula hawali wala hawakai kwenye msiba wa nzengo. Waligoma kabisa, sasa chakula walichokuwa wameandaa nikama sisi ndugu tusingekimaliza hata kama tungekula siku 2 bado kingebaki kingi tu. Ikabidi ndugu waitane na wakaongee na wazee mjomba akapigwa faini ya mbuzi ndio wakaja kushiriki.

Toka hapo mjomba hajawahi kuacha kuhudhuria misiba anakwambia nilichokiona sikuile ni fedheha hata kama unauwezo ile ni mbaya sana.
Mtu mzima kwenda misibani mpaka upigwe faini, kweli umri ni namba tu
 
Sasa mkuu mandala hapo huwa nawazaga sana Mie siend kwenye misiba, siend sherehe yoyote kwenye imani yangu sehemu ya ibada daftari la mahudhurio sipo, sitembeleagi ndugu wala kuwasiliana nao🤔

S ndo kwangu watahudhuria mtu NNE😅
Huoni kwamba utakua umepunguza gharama kubwa, viti, chakula vinywaji , usafiri, Kisha ukabaki na madeni, ukawa una misiba miwili?
 
Mzee mmoja amefariki na M/Mungu alimjaalia kweli enzi za uhai wake mali kweli kweli za kutosha, katika kujumuika na nzengo Mzee hakuwa na historia ya kuhudhuria misiba ya wengine na hata kushiriki tu hakuwa anafanya hivyo enzi za uhai wake kabisa na hakuwa anajali.

Sasa ya Mungu mengi bwana leo yeye ndio amefariki toka Jumatatu. Nyumbani kwake pamewekwa maturubai na ratiba ya mazishi ila hakuna watu.

Bahati mbaya hata watoto wake mke pia walimuiga tabia. Wapo wenyewe na ndugu majirani hakuna hata mmoja na watu hawana habari napo ni kama vile hakuna kitu vinaendelea pale kila mtu anaendelea na mambo yake.

Hii stori inakuja kufanana kidogo sana na hii yangu ambayo niliishugudia.

Hii imenikumbusha mwaka 2019 nilihudhuria msiba wa babu huko Musoma kijijini cha Nyabange Wilaya ya Butiama. Nzengo walikuja kama kawaida wakashughulika kila kitu wakaandaa, lilipofika suala la kula kile chakula wakaitana baadae nikaona kila mtu anaenda kwake, kila kitu walicho andaa walikiacha kama kilivyo tukabakia ndugu tu.

Wakasema, mjomba ambae ndio msiba ulikuwa umepangwa hakuwa anakula kwenye misiba na yeye alikuwa anachangia tu. Na mke wake alikuwa anakuja kupika na kuondoka kula hawali wala hawakai kwenye msiba wa nzengo. Waligoma kabisa, sasa chakula walichokuwa wameandaa nikama sisi ndugu tusingekimaliza hata kama tungekula siku 2 bado kingebaki kingi tu. Ikabidi ndugu waitane na wakaongee na wazee mjomba akapigwa faini ya mbuzi ndio wakaja kushiriki.

Toka hapo mjomba hajawahi kuacha kuhudhuria misiba anakwambia nilichokiona sikuile ni fedheha hata kama unauwezo ile ni mbaya sana.
KWANI WASIPOENDA MSIBANI KUNA SHIDA?
UMASKINI KITU MBAYA SANA.
 
Siyo kila watu ni wa kuingiliana nao. Wengine ni nuksi. Ndiyo maana Wengine wanasema wema hawana maisha, pengine ni ile hali ya kuishi bila limit. Kila mtu anajichanganya naye. Kumbe anajimaliza
sahihi mkuu.
 
Ila jamani waswahili sie tuna nongwa, tusilipe ubaya kwa ubaya, labda kama mna ugomvi personal bila bora tuu kwenda ukajumuike na wafiwa.
 
Mzee mmoja amefariki na M/Mungu alimjaalia kweli enzi za uhai wake mali kweli kweli za kutosha, katika kujumuika na nzengo Mzee hakuwa na historia ya kuhudhuria misiba ya wengine na hata kushiriki tu hakuwa anafanya hivyo enzi za uhai wake kabisa na hakuwa anajali.

Sasa ya Mungu mengi bwana leo yeye ndio amefariki toka Jumatatu. Nyumbani kwake pamewekwa maturubai na ratiba ya mazishi ila hakuna watu.

Bahati mbaya hata watoto wake mke pia walimuiga tabia. Wapo wenyewe na ndugu majirani hakuna hata mmoja na watu hawana habari napo ni kama vile hakuna kitu vinaendelea pale kila mtu anaendelea na mambo yake.

Hii stori inakuja kufanana kidogo sana na hii yangu ambayo niliishugudia.

Hii imenikumbusha mwaka 2019 nilihudhuria msiba wa babu huko Musoma kijijini cha Nyabange Wilaya ya Butiama. Nzengo walikuja kama kawaida wakashughulika kila kitu wakaandaa, lilipofika suala la kula kile chakula wakaitana baadae nikaona kila mtu anaenda kwake, kila kitu walicho andaa walikiacha kama kilivyo tukabakia ndugu tu.

Wakasema, mjomba ambae ndio msiba ulikuwa umepangwa hakuwa anakula kwenye misiba na yeye alikuwa anachangia tu. Na mke wake alikuwa anakuja kupika na kuondoka kula hawali wala hawakai kwenye msiba wa nzengo. Waligoma kabisa, sasa chakula walichokuwa wameandaa nikama sisi ndugu tusingekimaliza hata kama tungekula siku 2 bado kingebaki kingi tu. Ikabidi ndugu waitane na wakaongee na wazee mjomba akapigwa faini ya mbuzi ndio wakaja kushiriki.

Toka hapo mjomba hajawahi kuacha kuhudhuria misiba anakwambia nilichokiona sikuile ni fedheha hata kama unauwezo ile ni mbaya sana.
Tatizo liko wapi?
 
Ukifa umeshakufa!

Uzikwe na dunia nzima kama Mandela au uzikwe na greda la halmashauri bila kutambuliwa na ndugu zako kwako uliyefariki haikusaidii cho chote.

Nyingine zote ni mbwembwe za wanadamu tu.

Hongereni kwenu Waislamu kwa kurahisisha sana suala hili la mazishi. Huwa nawaonea wivu sana!
Kwa waislam kama ulikuwa mzinzi,mlevi,muasherati,huhudhurii misiba siku ukifa utazikwa tu mambo mengine it is up to you kujibu kwa mola wako huko juu.
 
Misiba kama hiyo naipenda sana.

Ni kama misiba ya wazungu majuu.

Familia mnaumaliza msiba fasta bila usumbufu na gharama za kulisha watu
Yani watu huja kula na kuangalia nani kaja nani hajaja....pumbavu sana.
 
Kashakufa ata msipo enda hadhuriki kwa chochote
Kwanza nyie ni mapimbi mnamsimanga marehemu yan mnaleta ugomvi na mfu

Kashakufa mkienda msipoenda haisaidii wala hapati aibu tyr ni marehemu

Watu weng kuja msiban ni sifa kwa ndg na jamaa walioko hai ila kwa mfu haina maana yyte
 
Hii tabia siipendi jamani yaan wanajamii huwa wapo macho sana kuangalia nani anakosea ili wamkomoe siku moja siwapendi kabisa ,watu kujaa na kusubiri kula ,sisi kwetu huwakomesha nzengo wanakuja tunawapa kazi ya kukatakata vitu kupika tunaweka mtu anapika na kusimamia kila kitu sasa wanachukia kwa sababu hawawezi kuiba wale wanawake ni wezi mno wa nyama sijui wapoje,msiba wa babu yangu watu wanakuja muda wa kula mpaka tukawatangazia jamani msiba umeisha 😂😂😂😂 watu wanapenda vyakula vya msiban hasa penye vinono
 
Kashakufa ata msipo enda hadhuriki kwa chochote
Kwanza nyie ni mapimbi mnamsimanga marehemu yan mnaleta ugomvi na mfu

Kashakufa mkienda msipoenda haisaidii wala hapati aibu tyr ni marehemu

Watu weng kuja msiban ni sifa kwa ndg na jamaa walioko hai ila kwa mfu haina maana yyte
Waje wabadili msiba uwe kwa ndugu na jamaa wa karibu
 
Mzee mmoja amefariki na M/Mungu alimjaalia kweli enzi za uhai wake mali kweli kweli za kutosha, katika kujumuika na nzengo Mzee hakuwa na historia ya kuhudhuria misiba ya wengine na hata kushiriki tu hakuwa anafanya hivyo enzi za uhai wake kabisa na hakuwa anajali.

Sasa ya Mungu mengi bwana leo yeye ndio amefariki toka Jumatatu. Nyumbani kwake pamewekwa maturubai na ratiba ya mazishi ila hakuna watu.

Bahati mbaya hata watoto wake mke pia walimuiga tabia. Wapo wenyewe na ndugu majirani hakuna hata mmoja na watu hawana habari napo ni kama vile hakuna kitu vinaendelea pale kila mtu anaendelea na mambo yake.

Hii stori inakuja kufanana kidogo sana na hii yangu ambayo niliishugudia.

Hii imenikumbusha mwaka 2019 nilihudhuria msiba wa babu huko Musoma kijijini cha Nyabange Wilaya ya Butiama. Nzengo walikuja kama kawaida wakashughulika kila kitu wakaandaa, lilipofika suala la kula kile chakula wakaitana baadae nikaona kila mtu anaenda kwake, kila kitu walicho andaa walikiacha kama kilivyo tukabakia ndugu tu.

Wakasema, mjomba ambae ndio msiba ulikuwa umepangwa hakuwa anakula kwenye misiba na yeye alikuwa anachangia tu. Na mke wake alikuwa anakuja kupika na kuondoka kula hawali wala hawakai kwenye msiba wa nzengo. Waligoma kabisa, sasa chakula walichokuwa wameandaa nikama sisi ndugu tusingekimaliza hata kama tungekula siku 2 bado kingebaki kingi tu. Ikabidi ndugu waitane na wakaongee na wazee mjomba akapigwa faini ya mbuzi ndio wakaja kushiriki.

Toka hapo mjomba hajawahi kuacha kuhudhuria misiba anakwambia nilichokiona sikuile ni fedheha hata kama unauwezo ile ni mbaya sana.
Ningewapa kongole kama wangesusa hadi kupika. Walijua tu kuna kitu kitafanyika wakale minyama. mshua mmoja aliishi sana Ulaya, akarudi Dar akafiwa na mzazi. Hakuzoea misongamano. Waswazi wakapika tena menu yenye kuku pia, wakasepa, wanasubiri kuombwa radhi ili warudi kula. Shubuuutuuu. Mfiwa Alikodi gari likafuata masela manzese wakala ubwabwa fresh, wacha wapishi wa uswazi walalamike.
 
Hii tabia siipendi jamani yaan wanajamii huwa wapo macho sana kuangalia nani anakosea ili wamkomoe siku moja siwapendi kabisa ,watu kujaa na kusubiri kula ,sisi kwetu huwakomesha nzengo wanakuja tunawapa kazi ya kukatakata vitu kupika tunaweka mtu anapika na kusimamia kila kitu sasa wanachukia kwa sababu hawawezi kuiba wale wanawake ni wezi mno wa nyama sijui wapoje,msiba wa babu yangu watu wanakuja muda wa kula mpaka tukawatangazia jamani msiba umeisha 😂😂😂😂 watu wanapenda vyakula vya msiban hasa penye vinono
Wanawatahadharisha kabisa watoto wao wasicheze mbali maana kwao hakupikwi siku hiyo. Ushamba huu sijui utaisha lini. kijana mmoja alibeba na ndizi mbivu kabisa, anasema eti akila pilau kavu choo kinakuwa kigumu. Oh Lord.
 
Wanawatahadharisha kabisa watoto wao wasicheze mbali maana kwao hakupikwi siku hiyo. Ushamba huu sijui utaisha lini. kijana mmoja alibeba na ndizi mbivu kabisa, anasema eti akila pilau kavu choo kinakuwa kigumu. Oh Lord.
Familia nyingi njaa kali
 
Back
Top Bottom