Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Matag unabwabwaja nini?Magufuli amekuja kufanya mambo mengi sana, Watanzania tutamkumbuka huyu Baba kwa uchapakazi na upendo wake kwa Nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matag unabwabwaja nini?Magufuli amekuja kufanya mambo mengi sana, Watanzania tutamkumbuka huyu Baba kwa uchapakazi na upendo wake kwa Nchi
Nadhani hata hilo la watoto kuto kukaa chini ni nikwete nakumbuka mwisho wisho hapa kabla ya kistaafu 2015 kulikuwa na hekaheka za michango ya madawati kila kaya katika kata husika na watu walilala ndani kwa kuto tekeleza hilo, tuwe wakweli wakati fulanPamoja na mengi mengi mazuri aliyoyafanya JPM haswa suala la nidhamu ktk kila taasisi ya umma na kupunguza mianya ya wizi wa rasilimali za taifa na Aina nyingine za ubabaishaji, ikiwemo pia miradi mbalimbali...Ila Kuna miradi mikubwa umeitaja ilikuwa chini ya JK , mfano fly over zote za Dar, daraja la salander, SGR, Stiegles gorge, na kama Kuna kitu Cha kumkumbuka JK basi ni upanuzi wa uwanja wa kimataifa wa JKN terminal III.
😂😂😂😂😂 Watu mnaroho ngumuHuyo hakuna la maana alilofanya.
Hahahaaaa........ Chadema imeishiwa pumzi by Lijualikali!😂😂😂😂😂 Watu mnaroho ngumu
Pumzi yao ishakata kabisa nakwambiaHahahaaaa........ Chadema imeishiwa pumzi by Lijualikali!
Mimi Magufuli ninamuangalia tangu awamu ya Tatu akiwa Naibu Waziri wa UjenziTunakumbushana tu alama njema xilizowekwa na viongozi wetu wastaafu.
Kiukweli wamefanya mengi ila kwa yale ambayo yanajulikana kona zote za nchi ni hayo machache niliyoyataja hapo juu.
Kwa Dr Magufuli hii awamu ya kwanza tu nimeshindwa nianzie wapi maana mambo ni mengi, hapa nipo njia panda ya chuo kulia naona ubungo flyover na kushoto naziona Magufuli hostel.
Nitaendelea.........!
Maendeleo hayana vyama.
Sasa hivi wengi hamyaoni,subirini akitoka madarakani,mtahesabu mpaka kwa vidole na visoda...Huyo hakuna la maana alilofanya.
Mkuu usiforce tufanane.Sasa hivi wengi hamyaoni,subirini akitoka madarakani,mtahesabu mpaka kwa vidole na visoda...
Ufipa wamevurugwa kweli kweli!Tulia Wewe dawa ikuingie
Hatuzungumzii makaratasi mzee. Tunazungumzia utekelezaji. Kwani mbona kuna miradi ilikuwa ya nyerere. Mradi kama wa Stieglers HP ni wa nyerere, makao makuu dodoma ni wa nyerere. Tunazungumzia utekelezaji na umalizaji wa miradi.Pamoja na mengi mengi mazuri aliyoyafanya JPM haswa suala la nidhamu ktk kila taasisi ya umma na kupunguza mianya ya wizi wa rasilimali za taifa na Aina nyingine za ubabaishaji, ikiwemo pia miradi mbalimbali...Ila Kuna miradi mikubwa umeitaja ilikuwa chini ya JK , mfano fly over zote za Dar, daraja la salander, SGR, Stiegles gorge, na kama Kuna kitu Cha kumkumbuka JK basi ni upanuzi wa uwanja wa kimataifa wa JKN terminal III.
Kama wapi?Mkuu umesema ukweli lakini umeharibu kutia kachumbari yenye chumvi nyingi na pilipili za mwendokasi
MATAGA acheni kuropoka ropokaUfipa wamevurugwa kweli kweli!
Chadema imeishiwa pumzi by Lijualikali!MATAGA acheni kuropoka ropoka
Ni jambo jema!Dah...Kuna anko mmoja kule Kimara...kabla ya kuoga lazima amuombee mema Jeway...kisa kupata MAJI tu ..... 🤣 🤣
Teh...teh...teheeeee.... Wasamehe bure hao ma STIGLAZI GEJI na STANDADI GOJI...Pumzi yao ishakata kabisa nakwambia