ibramy
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 642
- 967
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] we snitch sana mkuu
Huyu mzee naye ni muongo sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mzee naye ni muongo sn
😂ushahidi wa hili ni kule chato siku ya kumuaga magufuli pale alipotaka kurudia kuaga mwili mara mbili na akakili kwamba alisahau
Sawa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] we snitch sana mkuu
😂Mama Sitti yuko pale, ningemuuliza hili ni jukwaa gani vilee
Wewe nenda pale kwenye mwendokasi mwambie mwafrika mwenzako huna shilingi Mia moja badala ya 650 mpe 550 halafu mwombe akusamehe hiyo iliyopungua!.Yule mkata tiketi asingeamini kama angeambiwa baadae kuwa "yule uliyemkatalia kisa hana nauli itoshayo ndiye Rais wa JMT".
Ama kweli USIONE UKADHANI
Kwani wewe majibu yako yanatusaidia Nini?sasa akakiweke bookshop hapa au humu haswa jukwa hili la siasa kina mchango gani,hayo maswaibu mbona yanawakuta wengi tu,wacheni kushobokea mambo yasio na tija kwa taifa,eti kakutana mzungu blah blah blah.
Hahhahaa si mchezo. Yajayo yamefanyika siri sana ili tujifunzeRais mstaafu wa DRC, Joseph Kabila, naye alishushwa kwenye basi huko Mbeya kwa kuwa hakuwa na nauli ya kutosha. Huo ulikuwa wakati wa hayati Mobutu na wakina Kabila walikuwa wakimbizi hapa Tanzania. Baadaye Kabila akaja kuwa Rais wa DRC.
Mwendokasi sio daladala ukipungukiwa ile ticket itapritiwajeWewe nenda pale kwenye mwendokasi mwambie mwafrika mwenzako huna shilingi Mia moja badala ya 650 mpe 550 halafu mwombe akusamehe hiyo iliyopungua!...
Wapi nimeandika neno mzungu? Wapi nimeonyesha ubaguzi kwenye comment yangu.Wewe nenda pale kwenye mwendokasi mwambie mwafrika mwenzako huna shilingi Mia moja badala ya 650 mpe 550 halafu mwombe akusamehe hiyo iliyopungua!...
Wewe unaishi wapi ambako huoni raha ya kujichanganya nao? Au unaona ngozi ya nyeusi NI mbaya?Sanaaaaa, sionagi hata raha ya kijichanganya nao.
Kwani Mwinyi alienda kwenye daladala? Hujaelewa kumbe unaongelea daladala wakati Mwinyi alikataliwa kwenye train na hizo train zinatoa tiketi za mfumo maalum siyo mtu anaweka hela mfukoni.Mwendokasi sio daladala ukipungukiwa ile ticket itapritiwaje
Huo ndo ubaguziSanaaaaa, sionagi hata raha ya kijichanganya nao.
Kwanini mkuu [emoji3][emoji3]Huyu mzee naye ni muongo sn
Leo ukimwambia arudie hiyo story atakwambia alipotea akiwa S.AKwanini mkuu [emoji3][emoji3]
Kuna comment nilitaka kujibu, wewe uko sawa ila Kuna watu wanalaumu maamuzi ya mfanyakazi wa kituo kisa ni mzungu ndo nikatoa mfano aende mwendokasi na hell pungufu akaombe aone Kama huyo mwafrika mwenzake atamsikiliza.Wapi nimeandika neno mzungu? Wapi nimeonyesha ubaguzi kwenye comment yangu.
Huko uliko mmeamka salama kweli!?
...akuanzae, mmalize....
Usinicheke tafadhar naomba kujurishwa🤔🤔
..Aiseeee, kama Boers walivyowatenga na kuwabagua Waafrika wenye asili ya Afrika Kusini !.Wewe unaishi wapi ambako huoni raha ya kujichanganya nao? Au unaona ngozi ya nyeusi NI mbaya?
Waafrika ndo Wana ubaguzi mbaya Sana, ona wahutu walivyochinja watutsi!
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Basi atakuwa ni msahaulifu kwasababu ya umri.Leo ukimwambia arudie hiyo story atakwambia alipotea akiwa S.A