Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
SawaBasi atakuwa ni msahaulifu kwasababu ya umri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaBasi atakuwa ni msahaulifu kwasababu ya umri.
Unafikiri kuna nafasi tena kwa Mzee Mwinyi kufa kwa laana za watu kwa umri alionao alishafaulu.Sasa hii stori sie walala hoi inatusaidia nini,asubiri kipigo kwa kuikandamiza Zanzibar kiaina,siku hizi dua za waislamu waliojaa imani ni za kuangamiza tu,hakuna mswalie mtume na anaejipitisha kukandamiza na kulalia haki za Waislamu bila ya kuwasahau Mashee wa Taasisi ya Uamsho,malipo ni hapa hapa ,mtu atatoka funza kitandani na harufu eneo zima.
OkKwani Mwinyi alienda kwenye daladala? Hujaelewa kumbe unaongelea daladala wakati Mwinyi alikataliwa kwenye train na hizo train zinatoa tiketi za mfumo maalum siyo mtu anaweka hela mfukoni.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
unashindwa kuerewa kuwa matukio ya wazee ya miaka 50 iliyopita wanakumbuka kushinda ya leo.au hujakaa na wazee?Huyu mzee kwa umri wake inaonekana ameshaaza kupoteza kumbukumbu, ushahidi wa hili ni kule Chato siku ya kumuaga magufuli pale alipotaka kurudia kuaga mwili mara mbili na akakili kwamba alisahau...
Ugonjwa wa kumbukumbu unakuja kwa staili tofauti.Huyu mzee kwa umri wake inaonekana ameshaaza kupoteza kumbukumbu, ushahidi wa hili ni kule Chato siku ya kumuaga magufuli pale alipotaka kurudia kuaga mwili mara mbili na akakili kwamba alisahau...
Ndio maana nimetaka kujua juu ya hili kwasababu mzee amafikia hatua ya kusahau hadi watoto wake.unashindwa kuerewa kuwa matukio ya wazee ya miaka 50 iliyopita wanakumbuka kushinda ya leo.au hujakaa na wazee?
Kwahyo ugonjwa wa huyu mzee ni wakusahau mambo mpya au sio!, maana kwa alichokifanya ile siku chato kilinipa mashaka juu ya hiki kitabu.Ugonjwa wa kumbukumbu unakuja kwa staili tofauti.
Kuna wanaokumbuka ya zamani zaidi lakini wanasahau ya hivi karibuni, kuna wanaokumbuka ya hivi karibuni lakini wakasahau ya zamani
Mkuu hivi unajua hicho kitabu kimeanza kuandikwa lini?Huyu mzee kwa umri wake inaonekana ameshaaza kupoteza kumbukumbu, ushahidi wa hili ni kule Chato siku ya kumuaga magufuli pale alipotaka kurudia kuaga mwili mara mbili na akakili kwamba alisahau...
Wewe ulimuuliza akakupa majimu tofauti?Leo ukimwambia arudie hiyo story atakwambia alipotea akiwa S.A
Wazee huwa wanakumbuka mambi ya zamani kuliko ya karibuniHuyu mzee kwa umri wake inaonekana ameshaaza kupoteza kumbukumbu, ushahidi wa hili ni kule Chato siku ya kumuaga magufuli pale alipotaka kurudia kuaga mwili mara mbili na akakili kwamba alisahau...
Unawezaje kumwambia mtu umri zaidi ya baba yako ni muongo?Huyu mzee naye ni muongo sana.
Wewe unamjua baba angu?Unawezaje kumwambia mtu umri zaidi ya baba yako ni muongo?
TeteeteWewe ulimuuliza akakupa majimu tofauti?
Sijajua ndio maana nimeulizaMkuu hivi unajua hicho kitabu kimeanza kuandikwa lini?
Well saidMORAL OF THE STORY: There are good and bad people in every society.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu ndiyo uzuri wa mabeberu aka ngozi nyeupe, angekuwa ngozi nyeusi pale lazima ulambwe viatu, simu na vibao juu kwa nini unatembea mjini bila hela.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mzungu aliyehesabu pesa kwa pencil alikuwa tozi kwelikweli
Huyu mzee kwa umri wake inaonekana ameshaaza kupoteza kumbukumbu, ushahidi wa hili ni kule Chato siku ya kumuaga magufuli pale alipotaka kurudia kuaga mwili mara mbili na akakili kwamba alisahau.
SWALI: Wakati Kitabu Hiki Kinaandaliwa Ilitumika Njia Gani huyu mzee kuweza kukumbuka matukio yaliyotokea zaidi ya miaka 15 nyuma ikiwa tu hata watoto wake ameshaaza kuwasahau?
Nb: nimeuliza ili nipate kujua sina maana zaidi ya hiyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena akiwa rais wa nchi,Leo ukimwambia arudie hiyo story atakwambia alipotea akiwa S.A
Du! Sasa uongo wake we umejuaje haya hebu tuelezee wewe ukweli ulivyokua na uuze kwa bei ya chini kidogo kuliko bei anayotuuzia MwinyiHuyu mzee naye ni muongo sana.