Mzee Mwinyi asimulia alivyopotea Ulaya alipokuwa mwanafunzi; mzungu akataa kugusa hela yale isipokuwa kwa ncha ya penseli

Hicho kitabu cha Mwinyi inaonekana kimejaa SOGA za kwenye GAHAWA tu.

Bora hata Mkapa aligusia masuala ya Tume huru, Demokrasia na kukiri mauaji ya Pemba.
 
Rais mstaafu wa DRC, Joseph Kabila, naye alishushwa kwenye basi huko Mbeya kwa kuwa hakuwa na nauli ya kutosha. Huo ulikuwa wakati wa hayati Mobutu na wakina Kabila walikuwa wakimbizi hapa Tanzania. Baadaye Kabila akaja kuwa Rais wa DRC.
Ha! Hii itakua ni template inayofuatwa na waandishi wote wa vitabu, sio? JK naye atasema alikosa nauli kwanye basi la Mkaramo akasaidiwa na mzee fulani 🤣
Ni kama inspirational speakers, wote wana "rag to riches stories"
 
Yule mkata tiketi asingeamini kama angeambiwa baadae kuwa "yule uliyemkatalia kisa hana nauli itoshayo ndiye Rais wa JMT".

Ama kweli USIONE UKADHANI
Wala asingebabaika maana haoni kama Tanzania ni nchi ya maana.
 
Rais wa JMT mzungu wala asingejali na hamhusu. Yeye dharau zile tu zilimtosha
Hata wananchi wanataka kujua mambo muhimu kama Loliondo kumilikishwa kwa waarabu miaka 99 under Mwinyi's watch.

Simulizi za kupotea London awasimulie wake zake na wajukuu.

My hope is JK atapoandika kitabu chake atatujuza yale mapesa ya escrow tuliyoambiwa yalisombwa kwa magari ya Ikulu alikuwa anapelekewa nani.
 



ilipelea shilingi moja au pound moja

au umetumia neno "shilingi " kama
kivumishi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…