THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Tunaangalia idadi ya wasomi kati yenu na sisi😀. Fanya utafiti kidogo uweze kujenga hoja yenye mashiko
Babu ukifatilia mambo ya dini utaumiza kichwa,dini zenyewe zote tumeletewa na majahaziWapuuzie vip sasa Ili hali mnaongea??
Unapuuzia vip kitu mnachopigia kelele Tena hata kama hakipo?
Wakupuuza basi angekuwa mzee mwinyi,Ila mbona kakiandika,we hujiulizi??
Tunaangalia proportionality, kumbuka nssf ya fusadi dauSasa ukiangalia idad ya wasomi let say it's true wagalatia mna wasomi wengi,nini kinawapa hofu pale ambapo hawa wasomi wachache ambao Muslims wakipewa nafasi ya teuzi japo kwa huo huo uchache wao muanze kupiga kelele ya udini udiniii?nyinyi si mna wasomi wengi?hofu yenu ni nin hawa wasomi wachache na wao wakipewa nafas kutumikia Taifa lao??au sadaka itapungua pungua siku za juma pili mkuu...
Shida iko wapi kwani kuna mzanzibari mnzanzibari? Wote wakuja weusi wote walitoka Tanzania bara ,Malawi na Msumbiji na wapemba no wajukuu Wa Sultani Wa Oman na Akina Tip tip fisadi la kiarabu lifanya biashara ya utumwa na pembe za ndovuKwa hio kiufupi Mwinyi ni mtu wa bara
Mwinyi ndiyo alifungua milango maana mambo yalikuwa tightHussein amezaliwa Zanzibar sema tu Mkuranga ni kwa babu zake!
Hakuna shida yoyoteShida iko wapi kwani kuna mzanzibari mnzanzibari? Wote wakuja weusi wote walitoka Tanzania bara ,Malawi na Msumbiji na wapemba no wajukuu Wa Sultani Wa Oman na Akina Tip tip fisadi la kiarabu lifanya biashara ya utumwa na pembe za ndovu
Dogo upo Iringa sehemu gani?Kwamba ulipie elfu 70 ili ujue maisha ya mtu!?
Huo ni umbea uliochangamka 😀 😀 😀
ahahhahhahahahahahahahahahahahahahhahha...................Huyu mzee amezeeka sana, sasa anaonyesha kuanzia kupoteza fahamu anaanza kutoa Siri.
Nipo Frelimo mkuu.tzkwanza said:Dogo upo Iringa sehemu gani?
Si unajua tena? Hapo ni THE BIGSHOW kwenye ubora WAKE.Lugha uliyotumia hapa imejaa udini. Huwa nawashangaa sana watu mnaotafuta upendeleo wa kidini sijui huwa mnataka nini? Si bora hata upendeleo wa kikabila kwamba ukifaidi mnaboresha kwenu?
Hajashusha bei bado???Hiyo elfu 70 si afadhali ukanunue kitabu cha jasusi yeriko nyerere!
Mndengereko yule kazaliwa kivuleKwa hiyo Mzee kiasili siyo Mzenji au baba yake alikuwa Mzenji aliyehamia bara?
Jaffar Mohamed Haniu amechukua nafasi ya Gerson Msigwa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu. Kazi iendeleee!!!Pia amesema kwenye kitabu chake kuwa wengine walikuwa wanamtizama kwa jicho la udini,eti KWA kuwa yeye ni Muislam basi alikuwa anateua viongoz wake kwa upendeleo wa kidini, jambo hilo lilimkwaza Sana, Galatians hawajaanza leo chuki za udini,hata mama samia kaa nao KWA tahadhari,wameshaanza na kwako pia