Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Ilitakiwa akili makosa yake kama mkapa alivyokiriHuyo Mzee Ruksa aliimega ardhi ya Wamaasai huko Loliondo akawapatia Waarabu ulitaka WaTanganyika tumchekee.
Kitabu chake tayari kina kasoro nyingi ikiwemo eti alifungua uchumi wakati si kweli hata kidogo.
Marehemu Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine alirejesha mahusiano yetu na Kenya bidhaa mbali mbali zikaanza kuingia katika soko la Tanganyika.Waziri Mkuu Salimu A Salimu ndiye aliyefungua mpaka biashara ya mutumba chini ya uongozi wa Mwl Nyerere.
Chini ya uongozi wa Mzee Ruksa siasa za udini ziliasisiwa na vikundi vya ugaidi vilishamiri.Bado tunakumbuka uchomaji wa shule ya Shauritanga na uchomaji wa makanisa.Vita ya KKKT Dayosisi ya Meru yote yalikuwa ni matunda ya uongozi wake dhaifu hadi ukazaliwa ule mtandao wa G55.
Sent using Jamii Forums mobile app