Mzee Mwinyi: Baba yangu alinipeleka Zanzibar ili nikajifunze dini (Q'uran) ili niwe Sheikh maarufu, nilitokea Mkuranga

Mzee Mwinyi: Baba yangu alinipeleka Zanzibar ili nikajifunze dini (Q'uran) ili niwe Sheikh maarufu, nilitokea Mkuranga

Pia amesema kwenye kitabu chake kuwa wengine walikuwa wanamtizama kwa jicho la udini,eti KWA kuwa yeye ni Muislam basi alikuwa anateua viongoz wake kwa upendeleo wa kidini, jambo hilo lilimkwaza Sana, Galatians hawajaanza leo chuki za udini,hata mama samia kaa nao KWA tahadhari,wameshaanza na kwako pia

Mimi ni Mkristo,lakini nimefurahia ujio wa Mama pengine ungefikiri niliandaa au nilikunywa mvinyo siku taifa liliootangaziwa msiba wa mwendazake.

Mosi,nilifurahi kwasababu tabia ya mwendazake zilinichosha si dini yake ambayo yamkini mimi na yeye tuna share.

Hii habari ya kuwaita waTanzania wenzako wasio wa dini yako Galatians imejaa ushamba na uhanithi wa kiwango cha SGR.

Kama si mgalatia (Gen Mabeho) unayetaka kumdharau Mama asingekuwa Rais wa JMT.

Rais Mama Samia Suluhu atakosolewa pale atakapokosea bila kujali yeye ni kutoka dini gani.

Rais mstaafu Mzee Mwinyi alikuwa akiteua wazanzibar wengi kuja kufanyakazi huku Tanganyika wakati jambo hilo hilo lilikuwa haliwezekani kufanyika huko Zanzibar.Ilifika wakati hadi RMO hadi RM wa Tanesco wakitolewa huko visiwani wakati uwezo ulikuwa mdogo.

Rais Samia akiwa katika ziara yake huko Kenya alisikika akiidalalia ardhi ya Tanganyika kwa hili siwezi kumuunga mkono nitamkosoa na taratibu naanza ku tazama kwa jicho la taadhari kubwa.
 
Mimi ni Mkristo,lakini nimefurahia ujio wa Mama pengine ungefikiri niliandaa au nilikunywa mvinyo siku taifa liliootangaziwa msiba wa mwendazake.

Mosi,nilifurahi kwasababu tabia ya mwendazake zilinichosha si dini yake ambayo yamkini mimi na yeye tuna share.

Hii habari ya kuwaita waTanzania wenzako wasio wa dini yako Galatians imejaa ushamba na uhanithi wa kiwango cha SGR.

Kama si mgalatia (Gen Mabeho) unayetaka kumdharau Mama asingekuwa Rais wa JMT.

Rais Mama Samia Suluhu atakosolewa pale atakapokosea bila kujali yeye ni kutoka dini gani.

Rais mstaafu Mzee Mwinyi alikuwa akiteua wazanzibar wengi kuja kufanyakazi huku Tanganyika wakati jambo hilo hilo lilikuwa haliwezekani kufanyika huko Zanzibar.Ilifika wakati hadi RMO hadi RM wa Tanesco wakitolewa huko visiwani wakati uwezo ulikuwa mdogo.

Rais Samia akiwa katika ziara yake huko Kenya alisikika akiidalalia ardhi ya Tanganyika kwa hili siwezi kumuunga mkono nitamkosoa na taratibu naanza ku tazama kwa jicho la taadhari kubwa.
Isije ikawa hawana uchungu na Tanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo Mzee kiasili siyo Mzenji au baba yake alikuwa Mzenji aliyehamia bara?
Mkuranga ndio kwao na Hussen mwnyi pia wote ni Mkuranga hawa ni watu walipelekwa kuitawala Zanzibar tu lakini hawana mapenzi na Zanzibar kama Nchi ndio mana Hussen Mwinyi mpaka leo yuko kimya hajaonekana kudai mamlaka ya Zanzibar yaliyopokwa ni mkoloni mweusi
 
Mimi ni Mkristo,lakini nimefurahia ujio wa Mama pengine ungefikiri niliandaa au nilikunywa mvinyo siku taifa liliootangaziwa msiba wa mwendazake.

Mosi,nilifurahi kwasababu tabia ya mwendazake zilinichosha si dini yake ambayo yamkini mimi na yeye tuna share.

Hii habari ya kuwaita waTanzania wenzako wasio wa dini yako Galatians imejaa ushamba na uhanithi wa kiwango cha SGR.

Kama si mgalatia (Gen Mabeho) unayetaka kumdharau Mama asingekuwa Rais wa JMT.

Rais Mama Samia Suluhu atakosolewa pale atakapokosea bila kujali yeye ni kutoka dini gani.

Rais mstaafu Mzee Mwinyi alikuwa akiteua wazanzibar wengi kuja kufanyakazi huku Tanganyika wakati jambo hilo hilo lilikuwa haliwezekani kufanyika huko Zanzibar.Ilifika wakati hadi RMO hadi RM wa Tanesco wakitolewa huko visiwani wakati uwezo ulikuwa mdogo.

Rais Samia akiwa katika ziara yake huko Kenya alisikika akiidalalia ardhi ya Tanganyika kwa hili siwezi kumuunga mkono nitamkosoa na taratibu naanza ku tazama kwa jicho la taadhari kubwa.

Wewe huwez kuwa na jicho la kumzid president na kusema kwamba alikuwa anateua wanzazibar ambao hawakuwa na sifa kuja kuongoza Tanganyika, besides unajichanganya mwenyewe,

Hakuwateua kuja kuongoza Tanganyika,aliwateua kama Raia wa jamhuri ya muungano wa Tanzania,na hamkuwa mnachukia kwa kuwa wao ni wazanzibar,mlikuwa mnachukia kwa kuwa wao ni waislam,

Na mzee mwinyi kaliweka hilo kwenye kitabu chake,na Cha AJabu zaid shutuma kama hizo mlianza kuzianzisha kwa huyu mama,sasa tunawaambia ole wenu tuwaskie,tutadeal na nyinyi

Na unaposema kuwa kukuita Galatians ni ushamba,ushamba kivip kwani wewe siyo Mgalatia??

Vip unaikana iman yako leo
 
Mzee Mwinyi anasema baba yake aliyeishi Mkuranga alimpeleka Zanzibar ili akajifunze dini ya kiislamu na aweze kuja kuwa sheikh maarufu.

Mzee Mwinyi anasema akiwa Zanzibar alipata mafunzo ya Quran kutoka kwa mashehe mbalimbali maarufu na kuwa mwanazuoni wa dini ya kiislamu.

Mzee Mwinyi anasema lakini ndoto ya baba yake ya kumuona anakuwa shehe haikutimia kwa sababu alisombwa na upepo wa kisiasa. Lakini Mwinyi anasema yeye ni mwanazuoni.

Kazi Iendelee!
Waislamu hatuna utaratibu wa kujiandikia kitabu cha maisha yako eti unaeleza kila kitu humo ndani, haya mambo yameanzishwa kutoka huko upande mwengine hayana umuhimu wowote wala maana yeyote.

Kitabu cha kila mtu kinajulikana kwenye maisha yako automatically wala hakuna haja kuandika, wewe ukifa watu wako wataelezea kila kitu chako ulivyokuwa na kama ulikuwa mtu maarufu ndio kabisa dunia inakutambua kwa kila kitu chako.

Mfano halisi ni Ivi ni mtanzania gani saivi hana kitabu ha mwendazake? au asiyemjua mwendazake, kila mtu ukimuuliza atajaza kurasa tele, ndio mana hakuna haja kuandika haya mambo ambayo wakati mwengine ukweli hutausema lakini watu wanaokujua watasema tu.
 
Isije ikawa hawana uchungu na Tanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyo Mzee Ruksa aliimega ardhi ya Wamaasai huko Loliondo akawapatia Waarabu ulitaka WaTanganyika tumchekee.

Kitabu chake tayari kina kasoro nyingi ikiwemo eti alifungua uchumi wakati si kweli hata kidogo.

Marehemu Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine alirejesha mahusiano yetu na Kenya bidhaa mbali mbali zikaanza kuingia katika soko la Tanganyika.Waziri Mkuu Salimu A Salimu ndiye aliyefungua mpaka biashara ya mutumba chini ya uongozi wa Mwl Nyerere.

Chini ya uongozi wa Mzee Ruksa siasa za udini ziliasisiwa na vikundi vya ugaidi vilishamiri.Bado tunakumbuka uchomaji wa shule ya Shauritanga na uchomaji wa makanisa.Vita ya KKKT Dayosisi ya Meru yote yalikuwa ni matunda ya uongozi wake dhaifu hadi ukazaliwa ule mtandao wa G55.
 
Wewe huwez kuwa na jicho la kumzid president na kusema kwamba alikuwa anateua wanzazibar ambao hawakuwa na sifa kuja kuongoza Tanganyika, besides unajichanganya mwenyewe,

Hakuwateua kuja kuongoza Tanganyika,aliwateua kama Raia wa jamhuri ya muungano wa Tanzania,na hamkuwa mnachukia kwa kuwa wao ni wazanzibar,mlikuwa mnachukia kwa kuwa wao ni waislam,

Na mzee mwinyi kaliweka hilo kwenye kitabu chake,na Cha AJabu zaid shutuma kama hizo mlianza kuzianzisha kwa huyu mama,sasa tunawaambia ole wenu tuwaskie,tutadeal na nyinyi

Na unaposema kuwa kukuita Galatians ni ushamba,ushamba kivip kwani wewe siyo Mgalatia??

Vip unaikana iman yako leo

Pambana na gas haya mengine yamekuzidi kimo.
 
Mkuranga ndio kwao na Hussen mwnyi pia wote ni Mkuranga hawa ni watu walipelekwa kuitawala Zanzibar tu lakini hawana mapenzi na Zanzibar kama Nchi ndio mana Hussen Mwinyi mpaka leo yuko kimya hajaonekana kudai mamlaka ya Zanzibar yaliyopokwa ni mkoloni mweusi
Hussein Mwinyi amezaliwa Zanzibar!
 
Pia amesema kwenye kitabu chake kuwa wengine walikuwa wanamtizama kwa jicho la udini,eti KWA kuwa yeye ni Muislam basi alikuwa anateua viongoz wake kwa upendeleo wa kidini, jambo hilo lilimkwaza Sana, Galatians hawajaanza leo chuki za udini,hata mama samia kaa nao KWA tahadhari,wameshaanza na kwako pia
Vipi mkubwa hajagusia huko lile kofi alokatwa na yule mjamaa?
 
Huyu mzee amezeeka sana, sasa anaonyesha kuanzia kupoteza fahamu anaanza kutoa Siri.
Kuwa sio mzanzibar sio siri.

Kuwa unatoka mkuranga sio siri.

Kuwa raisi uliyesoma qurani sio siri.

Siri iko wapi hapo hasaa ?
 
Rais Samia akiwa katika ziara yake huko Kenya alisikika akiidalalia ardhi ya Tanganyika kwa hili siwezi kumuunga mkono nitamkosoa na taratibu naanza ku tazama kwa jicho la taadhari kubwa.
Mimi ningependa uwekezaji wa ardhi ufanyike upande mwingine ambao kuna baadhi wanasema umesahaulika.
 
Mzee Mwinyi anasema baba yake aliyeishi Mkuranga alimpeleka Zanzibar ili akajifunze dini ya kiislamu na aweze kuja kuwa sheikh maarufu.

Mzee Mwinyi anasema akiwa Zanzibar alipata mafunzo ya Quran kutoka kwa mashehe mbalimbali maarufu na kuwa mwanazuoni wa dini ya kiislamu.

Mzee Mwinyi anasema lakini ndoto ya baba yake ya kumuona anakuwa shehe haikutimia kwa sababu alisombwa na upepo wa kisiasa. Lakini Mwinyi anasema yeye ni mwanazuoni.

Kazi Iendelee!
Vipi bwashee hajakumbushia huko lile kofi?
 
Umekaa udini kivip, kwenye kitabu chake mzee mwinyi kasema alikuwa anakwazika kwa kuambiwa alikuwa anateua KWA kuwapendelea waislam kwa kuwa tuh yeye ni Muislam,kwani uongo hajasema??

Na kwani ni uongo kuwa nyinyi Tabia hiyo ya kutoa lawama kama hizo mnayo?hapa juzi hata kwa mama samia si mumeanza pia??kumbe Tabia hiyo mmerithi nyinyi kutoka kwa mababu zenu,na mnataka kurithisha kwa wajukuu zenu,muache Tabia ya hovyo hivyo,had mzee kaandika kwenye kitabu,mbadilikeee
Yeye si Rais wa kwanza kushutumiwa juu ya kuteua viongizi wa upande wake. Aache kulialia na wewe kumsaidia kwa kughalagala chini!

Nyerere alishutumiwa vivyo hivyo kwamba anawapendela Wakatoliki katika uteuzi wake, wakati hata yeye alipokuwa anawateua hakujua dini za wateuliwa wake.

Amekiri hili mara nyingi na katika moja ya hotuba zake ameliongelea!

Hivyo si sawa kuonekana kwamba yeye tu ndio alishutumiwa.
 
Huyo Mzee Ruksa aliimega ardhi ya Wamaasai huko Loliondo akawapatia Waarabu ulitaka WaTanganyika tumchekee.

Kitabu chake tayari kina kasoro nyingi ikiwemo eti alifungua uchumi wakati si kweli hata kidogo.

Marehemu Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine alirejesha mahusiano yetu na Kenya bidhaa mbali mbali zikaanza kuingia katika soko la Tanganyika.Waziri Mkuu Salimu A Salimu ndiye aliyefungua mpaka biashara ya mutumba chini ya uongozi wa Mwl Nyerere.

Chini ya uongozi wa Mzee Ruksa siasa za udini ziliasisiwa na vikundi vya ugaidi vilishamiri.Bado tunakumbuka uchomaji wa shule ya Shauritanga na uchomaji wa makanisa.Vita ya KKKT Dayosisi ya Meru yote yalikuwa ni matunda ya uongozi wake dhaifu hadi ukazaliwa ule mtandao wa G55.
Mwinyi hakuwa dhaifu ila aliongoza kipindi kigumu.

Unadhani kwanini Nyerere aliukimbia urais?
 
Back
Top Bottom